PAYPAL ACCOUNT

Tzhacker 000

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
659
Reaction score
690
Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu .

TRUST.. πŸ’―βœ…

Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na wanahitaji kufanya malipo ya bidhaa au kupokea pesa kutoka nje kupitia kwenye simu zao, M-pesa, tigo pesa na Airtel money πŸ€‘πŸ’°πŸ’°
 
hujaweka namba
 
Fees zako?
 
Weka utaratibu tu apa mkuu, dm kufanya nini tena
 
Huwezi funguka humu - this thread is questionable vibaya mno, unatoa huduma na huwi muwazi
 
Napokea kwa niaba yako, nadondoa kisha nakuwekea hela zako. Wewe ndiye utaniambia nile ngapi. Hivyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…