MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Wana jamii wenzangu nimeona hizi dating sites zinaongezeka kila leo. Katika hii mitandao mtu analipa annual fee na kiwangu kina tofautiana kutokana na member wa aina gani unataka kuwa. Kwa kawaida members wanaolipia zaidi wana pata extra features. Ninacho jiuliza mimi ni je imekua ngumu kiasi hicho kwa watu kutafuta urafiki mpaka waka lipe kwenye mitandao kumpata mtu? Nini kinacho fanya watu waka tafute wapenzi kwenye mitandao? Siyo kuwa nawa kejeli watu wanaofanya hivyo lakini ni kitu kwangu nashindwa kuelewa ndiyo maana nimeamua kuuliza wana jamii. Labda kati yetu wapo wanaotumia services hii.
Nikipata muda nita edit thread na kuweka baadhi ya hiyo mitandao hapa. Zipo pia mahsusi kwa dini au watu wa rangi fulani. Pia ukisearch hata kidogo tu kwenye mitandao utazipata.
Nikipata muda nita edit thread na kuweka baadhi ya hiyo mitandao hapa. Zipo pia mahsusi kwa dini au watu wa rangi fulani. Pia ukisearch hata kidogo tu kwenye mitandao utazipata.