Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Habari wadau,
Mimi ni shabiki wa soka. Huwa naangalia mechi zote za mataifa makubwa Ulaya na soka la Bongo nikiwa naishabikia Kagera Sugar.
Sasa katika soka la Ulaya kuna mchezaji matata anaitwa Paulo Dybala. Huyu ni mchawi wa soka ambaye yupo katika ubora wake kwa sasa kuliko mchezaji yeyote duniani. Bahati mbaya kafichwa na vyombo vya habari ambavyo vipo kibiashara kwa Messi,Neymar,Ronaldo,Suarez na Pogba.
Kwa wasiofuatilia soka nje ya mipaka ya Uingereza na Spain sio rahisi kumjua huyu kijana.
Ana uwezo binafsi wa kubadilisha matokeo. Anajua anataka nini, anamiliki mpira kwa umahiri,anakokota vyema,anapiga mashuti ya mbali, penati zake ni uhakika 100% kutinga nyavuni.
Akiwa na miaka 23 tu namtabiria makubwa sana kutawala soka la dunia na kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.
Sina mengi ya kumzungumzia, unaweza kumtizama
Mimi ni shabiki wa soka. Huwa naangalia mechi zote za mataifa makubwa Ulaya na soka la Bongo nikiwa naishabikia Kagera Sugar.
Sasa katika soka la Ulaya kuna mchezaji matata anaitwa Paulo Dybala. Huyu ni mchawi wa soka ambaye yupo katika ubora wake kwa sasa kuliko mchezaji yeyote duniani. Bahati mbaya kafichwa na vyombo vya habari ambavyo vipo kibiashara kwa Messi,Neymar,Ronaldo,Suarez na Pogba.
Kwa wasiofuatilia soka nje ya mipaka ya Uingereza na Spain sio rahisi kumjua huyu kijana.
Ana uwezo binafsi wa kubadilisha matokeo. Anajua anataka nini, anamiliki mpira kwa umahiri,anakokota vyema,anapiga mashuti ya mbali, penati zake ni uhakika 100% kutinga nyavuni.
Akiwa na miaka 23 tu namtabiria makubwa sana kutawala soka la dunia na kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.
Sina mengi ya kumzungumzia, unaweza kumtizama