Paulo Dybala, Mchawi wa soka asiyezungumziwa na wazandiki wa soka

Paul Bruno dyabala. Huyo dogo ni pilau balaa, sivuti picha game na barca apangwe kati na sturraro na pjanic.
 
Huyu dogo haondoki msimu ujao. Nadhani juve inatakiwa wamletee msaidizi wake ambaye ni radja Naingollan.
 
Huyu dogo haondoki msimu ujao. Nadhani juve inatakiwa wamletee msaidizi wake ambaye ni radja Naingollan.
 
Habari wadau,
View attachment 480846
Mimi ni shabiki wa soka. Huwa naangalia mechi zote za mataifa makubwa Ulaya na soka la Bongo nikiwa naishabikia Kagera Sugar.

Sasa katika soka la Ulaya kuna mchezaji matata anaitwa Paulo Dybala. Huyu ni mchawi wa soka ambaye yupo katika ubora wake kwa sasa kuliko mchezaji yeyote duniani. Bahati mbaya kafichwa na vyombo vya habari ambavyo vipo kibiashara kwa Messi,Neymar,Ronaldo,Suarez na Pogba.

Kwa wasiofuatilia soka nje ya mipaka ya Uingereza na Spain sio rahisi kumjua huyu kijana.

Ana uwezo binafsi wa kubadilisha matokeo. Anajua anataka nini, anamiliki mpira kwa umahiri,anakokota vyema,anapiga mashuti ya mbali, penati zake ni uhakika 100% kutinga nyavuni.

Akiwa na miaka 23 tu namtabiria makubwa sana kutawala soka la dunia na kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.

Sina mengi ya kumzungumzia, unaweza kumtizama

Mkuu yuko Sawa kabisa ushauri wangu ahamie Chelsea!!
 
hzo clip hata ukichukua za bobani ukaziunganisha unaweza kusema jamaa ni hatari kuliko hata huyo dgo
 
Katika madogo wanaokuja juu
Paulo Dybala
Gabriel Jesus
Ousmane Dembele
Moussa Dembele
Kylian Mbappe
Julian Weigl(huyu mtamu sana anavyopiga simple pass kama Sergio Busquets)

Kuna dogo pia yupo Arsenal, Donyell Malen(baada ya msimu huu naye namtabiria makubwa sana)
Yote tisa, kumi namuelewa sana Marco Verratti



verrati hatari sana huyo kiumbe
 
Dybala Mnyamaa..
Mechi ya mwisho na Porto klabu Bingwa Dogo nDio alimaliza penalty, juve wakaonDoka na ushinDi wa home n Away...
Tusubiri wakiumana na Barca uefa nani atafichwa
 
Huyu pacha wa mfalme ni muhimu mno pale nou camp tunamuhitaji sana tu, na ni aibu ikitokea ameenda tim nyingine tofauti na tim kubwa duniani the blaublaugrana. kwambali RM or Man city pia patamfaa , na tena akienda RM ndio kabisaa atawaficha akina pampers
 
Habari wadau,
View attachment 480846
Mimi ni shabiki wa soka. Huwa naangalia mechi zote za mataifa makubwa Ulaya na soka la Bongo nikiwa naishabikia Kagera Sugar.

Sasa katika soka la Ulaya kuna mchezaji matata anaitwa Paulo Dybala. Huyu ni mchawi wa soka ambaye yupo katika ubora wake kwa sasa kuliko mchezaji yeyote duniani. Bahati mbaya kafichwa na vyombo vya habari ambavyo vipo kibiashara kwa Messi,Neymar,Ronaldo,Suarez na Pogba.

Kwa wasiofuatilia soka nje ya mipaka ya Uingereza na Spain sio rahisi kumjua huyu kijana.

Ana uwezo binafsi wa kubadilisha matokeo. Anajua anataka nini, anamiliki mpira kwa umahiri,anakokota vyema,anapiga mashuti ya mbali, penati zake ni uhakika 100% kutinga nyavuni.

Akiwa na miaka 23 tu namtabiria makubwa sana kutawala soka la dunia na kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Dunia.

Sina mengi ya kumzungumzia, unaweza kumtizama

Kagera Fc forever!
Kuhusu media ni kweli hata hapa bongo tunaona jinsi media za wauza ngada zinavyoharibu nchi, daily kuiandama serikali. Ndo trend sasa.
 
Wewe unataka kijana wa watu asifanikiwe kisoka, mimi natamani sana atue pale Camp Nou.

Tupo pa1, huyu dogo namtabiria makubwa sana akitua barca. Ila akibaki juve tim ambayo naipenda pia atasahaulika sana, ballon zitakua zinampita hivi hivi,
 
Katika madogo wanaokuja juu
Paulo Dybala
Gabriel Jesus
Ousmane Dembele
Moussa Dembele
Kylian Mbappe
Julian Weigl(huyu mtamu sana anavyopiga simple pass kama Sergio Busquets)

Kuna dogo pia yupo Arsenal, Donyell Malen(baada ya msimu huu naye namtabiria makubwa sana)
Yote tisa, kumi namuelewa sana Marco Verratti
Ongeza na Julian Brandts
 
Back
Top Bottom