pauline Zongo bado yupo kwenye game

pauline Zongo bado yupo kwenye game

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,411
Reaction score
3,279
Kwa wale waliokuwa wanafuatilia bongo flave enzi inaanza kushika hatamu basi watakuwa wanamkumbuku huyu mwana dafada Pauline Zongo the first lady from upanga east cost.

Kwa muda sasa alikuwa hasikiki toka alipojiunga na band ya TOT

Lakini cha ajabu leo nipo kwenye harusi ya jamaa yangu hapa Qualty center namuona anatumbuiza live na band yake............CLASSIC

Nimepata wasaa wa kuteta naye anasema hivi sasa anaangalia zaidi maisha kwani kutumbuiza kwenye sherehe inamlipa zaidi kwa umri wake kuliko kukomaa na matamasha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom