Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,932
- 30,045
mkuu hii kitu hadi niicheki bei yake kwanza maana kitambo sijaiweka sokoni
kwan last tym ilikua bei gani
mkuu hii kitu hadi niicheki bei yake kwanza maana kitambo sijaiweka sokoni
Mkuu 390000
Nifanyie 350 kiongozi
USHAURI WA BUREMimi naomba unipe bei ya hizi simu kama unazo sababu mwisho wa mwezi huu ntanunua simu naweza kuwa mteja wako mkuu.
Samsung galaxy SIII mini na
Htc one X
Mkuu bei ya htc one m8 bei gani? Pia nikitaka tv samsung LED series 5 inch 51 hadi 60 ni bei gani?
mkuu usitoke povu.nmekwambia simu original ,kwa maana ukiinunua unaithibitisha kama ni original au la.kama hujui namna ya kuthibitisha simu original au copy sema usaidiwe na sio kukurupuka.then nimeeleza kuwa ikisumbua within a year irudishe ubadilishiwe.so ugumu uko wap?wakati mwingine inatakiwa ukubali hata maendeleo ya wenzako wanapo piga hatua
Asante sana Mkuu! nasubiri kwa Imani kabisa.
Mimi naomba unipe bei ya hizi simu kama unazo sababu mwisho wa mwezi huu ntanunua simu naweza kuwa mteja wako mkuu.Mkuu ngoja nikuchekie bei yake then iˊll inform you sababu nokia sijauza mda mrefu
mkuu nahitaji s2 swali je ni used au brandnew?
Mimi naomba unipe bei ya hizi simu kama unazo sababu mwisho wa mwezi huu ntanunua simu naweza kuwa mteja wako mkuu.
Samsung galaxy SIII mini na
Htc one X
mkuu usitoke povu.nmekwambia simu original ,kwa maana ukiinunua unaithibitisha kama ni original au la.kama hujui namna ya kuthibitisha simu original au copy sema usaidiwe na sio kukurupuka.then nimeeleza kuwa ikisumbua within a year irudishe ubadilishiwe.so ugumu uko wap?wakati mwingine inatakiwa ukubali hata maendeleo ya wenzako wanapo piga hatua
Kaka mbona umenijbu kwa hasira hivi.....
Sasa hebu weka namna yakuthibitisha kama simu especially ya samsung ni OG ili nasisi tujue namna yakutofautisha orginal na fake!!!!!
mkuu usitoke povu.nmekwambia simu original ,kwa maana ukiinunua unaithibitisha kama ni original au la.kama hujui namna ya kuthibitisha simu original au copy sema usaidiwe na sio kukurupuka.then nimeeleza kuwa ikisumbua within a year irudishe ubadilishiwe.so ugumu uko wap?wakati mwingine inatakiwa ukubali hata maendeleo ya wenzako wanapo piga hatua
Mkuu nadhani nivyema kama wafanya biashara au wote tunaotangaza katika jukwaa hili tuwe mfano, watu wengi hawajui vitu, hivyo ni wajibu wetu kutoa majibu yanayolenga kuelimisha na si matusi au kukashifiana.
binafsi hata mtu angetukana kweye tangazo langu sioni yakurudisha, wenzetu wametuzidi mbali, hukuti mtu akijimbizana mbovu na mteja.
Kaka mbona umenijbu kwa hasira hivi.....
Sasa hebu weka namna yakuthibitisha kama simu especially ya samsung ni OG ili nasisi tujue namna yakutofautisha orginal na fake!!!!!