Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
hello,
Nina simu ya Xiaomi imepata tatizo, simu yangu inanigomea kuingia first space kwa error ya wrong password baada ya kuibadili password, nikiweka password mpya inakataa, ya zamani pia inakataa. Je, kuna solution yoyote ambayo sitaweza kupoteza data zangu?
ambae atanipa solution ya kuifungua bila kupoteza data zangu nitamreward 50$.
.
NB: njia official ya kuifungua ipo nitaitumia kama last option sababu itawipe data zangu zote.
kwa umuhimu wa data zangu atakaifanikisha hili zoezi sitamuangusha.
so guys the bounty is on!!
UPDATE
REWARD NI 100 $
DEADLINE-MONDAY EVENING (EDT zone)
Nina simu ya Xiaomi imepata tatizo, simu yangu inanigomea kuingia first space kwa error ya wrong password baada ya kuibadili password, nikiweka password mpya inakataa, ya zamani pia inakataa. Je, kuna solution yoyote ambayo sitaweza kupoteza data zangu?
ambae atanipa solution ya kuifungua bila kupoteza data zangu nitamreward 50$.
.
NB: njia official ya kuifungua ipo nitaitumia kama last option sababu itawipe data zangu zote.
kwa umuhimu wa data zangu atakaifanikisha hili zoezi sitamuangusha.
so guys the bounty is on!!
UPDATE
REWARD NI 100 $
DEADLINE-MONDAY EVENING (EDT zone)