!
!
kuna nini ambacho kinafichwa!?...kuandika kweli kujua nini kinafichwa ni mpaka uone, kwani inaweza ikawa ni picha au video fulani, au hata meseji. Hutaweza kujua mpaka uone nini kilifichwa. Na muda mwingine hakuna cha kuficha wala nini ila mtu hataki ulete shobo na simu yake maana kuna vitu vinaweza kuingia ambavyo asingependa uvione au uvisikie.
!
!
michepuko sio lazima iwe mingi, unaweza ukawa mchepuko mmoja tu ambao ukafanya mtu aweke password, tusikariri
!
!
halali au haramu inategemea na utamaduni...mfano nguruwe kwa utamaduni wa waislamu ni haramu wakati wakristu ni halali.