Password ya nini?

mzuri homy

Member
Joined
May 24, 2014
Posts
16
Reaction score
1
Jamani naomba kuuliza hivi kwa nini mume au mke, girlfriend or boyfriend wanawekeana password kwenye simu?

Kuna nini hapo kinachofichwa?

Au michepuko ndo mingi?

Je ni halali kwa mume au mke kuwekeana password?
 
wasiibiane hela kwenye mpesa na airtel money
 
ni kwa security ya kilichomo...si kumzuia wife au mme bali in case iko mikononi mwa mtu yeyote!
 
mimi na wangu huwa tunaweka password na kila mtu anajua ya mwenzake,but kulock tu ili wengine wasijui mengine
 
Jamani naomba kuuliza hivi kwa nini mume au mke, girlfriend or boyfriend wanawekeana password kwenye simu?

Kuna nini hapo kinachofichwa?

Au michepuko ndo mingi?

Je ni halali kwa mume au mke kuwekeana password?

!
!
kuna nini ambacho kinafichwa!?...kuandika kweli kujua nini kinafichwa ni mpaka uone, kwani inaweza ikawa ni picha au video fulani, au hata meseji. Hutaweza kujua mpaka uone nini kilifichwa. Na muda mwingine hakuna cha kuficha wala nini ila mtu hataki ulete shobo na simu yake maana kuna vitu vinaweza kuingia ambavyo asingependa uvione au uvisikie.
!
!
michepuko sio lazima iwe mingi, unaweza ukawa mchepuko mmoja tu ambao ukafanya mtu aweke password, tusikariri
!
!
halali au haramu inategemea na utamaduni...mfano nguruwe kwa utamaduni wa waislamu ni haramu wakati wakristu ni halali.

thanks
 
I real hate that thing....mi siweki kwanini wewe uweke??
ugomvi wake si wa hapa...sijui utaniambia nini nikakuelewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…