Wacha waibiwe tu sasa wanalala na mali wakati hawazifanyii kazi! Si Bora ikaletwa mtaani watu wanufaike nazo.. hivi wenyewe hawana utaalum Kama wa wajerumani walivyofukia mali zao na kuweka mauzauza..?Si wangeweka mauzauza kama wao kweli ustaarabu na maarifa yalianzia kwao basi elimu ya mauzauza wangekuwa nayo..