Huyu badala ya kutafuta gari; yeye anatafuta alphabet! Hivi hajui kwamba kuna gari zilizohamishwa kutoka registration convention ya say TZM kuja hii ya sasa na bado ziko katika Tip Top condition kuliko hata baadhi zenye Label B na C registration!
Wewe omba upunguziwe bei kama unataka gari seriously lakini sio kubeza biashara za wenzio! Sio uungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.