Pass mark ya utumishi

Pass mark ya utumishi

MAONO BOY

Member
Joined
Jul 13, 2014
Posts
24
Reaction score
2
ndugu zangu, mimi kwa uelewa wangu mdogo najua passmark ya utumishi ni marks 50 lakini naona haizingatiwi kwenye kitengo cha IT maana ukipata kuanzia hiyo 50 hupati nafasi ya kuendelea na interview ya pili.mimi nafikiri wangekuwa wanaruhusu ikishafika pass mark yao uendelee mbele maana wengine kumeza ni kudogo sana kwani ile ni mitihani ya darasani kabisa wakati wengine tupo uraiani muda mrefu. changia hoja yako.
 
Kama listing ya candidates,hufanywa kwa kuangalia idadi itakiwayo. Mfano unahitaji watu kumi kwa oral interview wakati wengi wamepata zaidi ya 90,unachora tu mstari pale idadi yako inapoishia eg waliopata 95 kwenda juu.........
 
Mkuu, sometimes inabidi wasifuate pass mark hiyo ya 50% coz hapatatosha mzee. Kwa mfano waliofanya written wawe 200 hafu kati yao 175 wakapata above 50% ka usikute hiyo nafasi inahitaji watu 4 tu, sidhani kama watakua watu makini kuwaita wote hao 175 kwenye interview mzee. Kwahiyo sometimes inabidi waipandishe juu tu pass mark.
 
High performance is direct proportion to increase of pass mark..
 
hivi state attorney bado hawajaitwa kazini?
 
Mkuu, sometimes inabidi wasifuate pass mark hiyo ya 50% coz hapatatosha mzee. Kwa mfano waliofanya written wawe 200 hafu kati yao 175 wakapata above 50% ka usikute hiyo nafasi inahitaji watu 4 tu, sidhani kama watakua watu makini kuwaita wote hao 175 kwenye interview mzee. Kwahiyo sometimes inabidi waipandishe juu tu pass mark.

mkuu ilo upo sahihi wala halina mjadala.
 
Back
Top Bottom