comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,947
Mayala mimi ni mtembeleaji mzuri wa "blog ya Michuzi. Leo nimeona kanikwanza kaweka picha za tukio la "Sherry Party iliyofanyika jana 9.02.2018 ikulu kwa mwaliko wa JPM na hakutaja jina la balozi yeyote wala nchi anayotoka. Ni Michuzi kweli au yuko likizo kamuachia mtu mwingine?