Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Tangu kitambo kidogo,umekuwa ukimnadi Edward Ngoyai Lowassa na kutuaminisha kuwa ndiye chaguo sahihi la CCM na nchi kwa ujumla kwa nafasi ya Urais 2015. Na hivi karibuni,hasa leo,umechomoza kama mpiga zumari wa Zitto Zuberi Kabwe kama chaguo sahihi la CHADEMA katika Urais 2015.
Hali ya kisiasa nchini Tanzania iliyopo na itakayofika 2015 inaonesha dhahiri kuwa mgombea wa ima CHADEMA au CCM ndiye atakayeibuka kidedea kama Rais wa tano wa Tanzania.
Ikiwa Lowassa atasimamishwa na CCM na Zitto atasimamishwa na CHADEMA,unadhani Tanzania itapata Rais inayomhitaji kuelekea mafanikio inayoyataka? Nini kinachokuaminisha kuwa hawa ni bora? Karibu Pasco,karibuni wana-JF wote tujadili
cc Pasco
Hali ya kisiasa nchini Tanzania iliyopo na itakayofika 2015 inaonesha dhahiri kuwa mgombea wa ima CHADEMA au CCM ndiye atakayeibuka kidedea kama Rais wa tano wa Tanzania.
Ikiwa Lowassa atasimamishwa na CCM na Zitto atasimamishwa na CHADEMA,unadhani Tanzania itapata Rais inayomhitaji kuelekea mafanikio inayoyataka? Nini kinachokuaminisha kuwa hawa ni bora? Karibu Pasco,karibuni wana-JF wote tujadili
cc Pasco
Last edited by a moderator: