vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 619
Mkuu unaamini kabisa humu JF watu hawajulikani utambulisho wao halisi kwa kutumia ID fake?
Wewe changia tu kwa uhuru bila matusi au kuvuka mipaka, lakini nakuhakikishia wote tunajulikana na hilo sio kosa la JF ni udhaifu wa teknolojia.
JF wanajitahidi kutulinda kadiri wawezavyo lakini bado kuna wakati mambo flani yapo nje ya uwezo wao.
Sio kwamba tunajulikana na mifumo ya dola tu bali pia na makundi yanayo pambana na dola.
Yani unataka ndugu yake Msigwa afe? Sio jambo zuri kuombea ndugu wa wenzako wafe.Ifike tu na ikaweke makazi pale kwenye jumba jeupe na makao makuu ya fisi wa kijani pale Lumumba! I hope you all fisiem die and go to hell!
Sasa mtu kaficha utambulisho wake halafu anamtisha mwenzie kuwa nitakuanika,hapo ndipo hoja ya Id fake inapokuja.Mkuu nadhani haujaelewa msingi wa point yangu. Point yangu ni kuwa kutumia jina lako la NIDA au hilo mnaita ‘fake id’ hakumuongezei au kumpunguzia mtu thamani ya michango yake humu JF. Just because Paskali anatumia jina lake halisi haimaanishi mawazo yake JF ni authentic. Tena yeye ndiyo ana sababu kubwa zaidi ya kuwa fake zaidi ya mwingine anayetumia hiyo ‘fake id’.
‘Fake id’ is an oxymoron ukielewa msingi na historia nzima ya login ID kwenye matumizi ya mitandao. Hizi hoja za fake id nimeanza kuzisikia miaka hii 4 na zipo humu JF peke yake. CCM wangeanzisha forum yao wangetaka watu wasign kwa kutumia kitambulisho cha taifa!
Daah, muda hautoshi jamani...comments ziwe fupifupiPaschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.
Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?
Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?
Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.
Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.
Achana na watu, deal na mambo yako.