Pascal Mayalla: Swali nililomuuliza Magufuli liliniletea shida sana kwenye shughuli zangu, sikutekwa kwa kuwa nilikuwa Kabila sawa na Magufuli

Pascal Mayalla: Swali nililomuuliza Magufuli liliniletea shida sana kwenye shughuli zangu, sikutekwa kwa kuwa nilikuwa Kabila sawa na Magufuli

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Kayasema haya kupitia video ya mahojiano kuhusu swali alilomuuliza Magufuli la alipata wapi mamlaka ya kuzuia Bunge live, na kuzuia mikutano ya hadharani,

Kwa kifupi
1. Alinyang’anywa press card ya kuendelea Kama muandishi wa Habari
2. Alizuiliwa kuendelea na shughuli zake za kutanganza na pia PPRA sabasaba, na alipoenda mama mwananchi alitolewa nje na Polisi kwa maelezo maalumu,
3. Alisitishiwa mikataba sita na mitano hawakulipa chochote Ila mmoja ambao ni wa kimataifa walisitisha Lakin wakalipa,
4. Alipokeapokea mesej za vitisho sana Ila hakuuwawa kisa ni msukuma ,
Sikiliza video yote


View: https://youtu.be/7Lgm6CsQlyg?si=lK_4RfasaxHaTc5l

Britanicca
 
1747934748209.png
 
Kayasema haya kupitia video ya mahojiano kuhusu swali alilomuuliza Magufuli la alipata wapi mamlaka ya kuzuia Bunge live, na kuzuia mikutano ya hadharani,

Kwa kifupi
1. Alinyang’anywa press card ya kuendelea Kama muandishi wa Habari
2. Alizuiliwa kuendelea na shughuli zake za kutanganza na pia PPRA sabasaba, na alipoenda mama mwananchi alitolewa nje na Polisi kwa maelezo maalumu,
3. Alisitishiwa mikataba sita na mitano hawakulipa chochote Ila mmoja ambao ni wa kimataifa walisitisha Lakin wakalipa,
4. Alipokeapokea mesej za vitisho sana Ila hakuuwawa kisa ni msukuma ,
Sikiliza video yote


View: https://youtu.be/7Lgm6CsQlyg?si=lK_4RfasaxHaTc5l

Britanicca

Mara alichofanyiwa hakikutokana na maagizo kutoka juu. Mara kabila lake ndilo lililomuokoa; vinginevyo, angepotezwa! Mayalla haoni internal inconsistency kwenye madai yake?
 
Back
Top Bottom