Partnership kwenye ufugaji kuku

Mimi nakushairi usistick kwenye ufugaji wa kuku tu. Huenda partner wako akawa na idea tofauti na ya kwako mfano kufuga nguruwe, au hata kilimo cha bustsni. Yaani ninachosisitiza hapa ni kwamba uwe open-minded na idea ya ufugaji wa kuku uiwasilishe kwa partner wako kama wazo tu ili naye awe na nafasi ya kulichanganua. Pia uwe tayari kupokea mawazo mapya maana mwisho wa yote ni pesa haijalishi zimepatikanaje.
 
Nicheki 0762576878/0624991478 tujadili na kuona jinsi gani tunaweza kushirikiana
 
Mimi pia na shamba tuangoma bila fence na MTU kuishi utaumia wenyeji was huko ni wezi sana
 
Mkuu wewe unafanya biashara ya kuku wa nyama au!?
 
Kama unataka kupata uzoefu anza na kuku wachache ya nyama km 200 , niko tayari kukupa free consultation; nina uzoefu wa 10 yrs sasa nilianza kidogo kidogo lkn nimekuwa naongeza idadi ya kuku wa nyama na mayai na kununua vyakula direct toka viwandani
Mkuu ninaomba nikutafute na mie kwa ushauri hasa kuhusiana na biashara hiyo ya kuku wa nyama
 
Una idea nzuri bro mm nmesomea mifugo tena shahada ya sayansi ya mifugo. Sema elimu ya tz haitujengi kujitegemea bali imetujengea dhana ya kuajiliwa alafu ukizingatia kipind hki cha mpito ambapo hamna ajira.
Ngoja nirejee mafa kuu
Mm wazo langu n kwamba tayarisha mbegu bora ya kuku pind upatapo mtaji maana kufuga kuku kunahitaj chakula bora
Hvyo bas zingatia
Mtaj
Mbegu bora
Dawa ya kuku
Chakula cha kuku well formulated balanced diet
Banda bora
Zen tafuta soko
Bila kusahau kununua vitabu vya ufugaj wa kuku kisasa
Natumai nimejatibu kukupa mwanga
 


Aiseee ahsante sana mkuu CORAL , umenipa wazo zuri sana kwakweli. Nakubaliana na ushauri wako kaka.
 

Shukrani mkuu kwa ushauri mzuri. Barikiwa sana
 
NAKODISHA ENEO KWAAJILI YA UFUGAJI LIPO MPAKANI MWA KIBAHA NA KISARAWE SI PORINI NI JIRAN NA CENTER MAJI YAPO KIBAO 0624078252 AU 0764726071
 
Wazima wote? Jaman kuna kipind cha tambuka kinaonyeshwa EATV kuna siku alionyeshwa mjasiliamal mmoja anafuga kuku wa kienyeji na anatengeneza machine ya kutotoresha kwa njia ya asil ni baba. Ambae ana mawasiliaono/namba zake za simu naomba anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…