Habari wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu flani hapa bongo
kwa yeyote mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza pata part time job
naomba aniunganishe nina uzoefu na mambo ya sales and marketing.
ni kweli kazi ni ngumu kwa sasa ila mi nakushauri usikate tamaa endelea kutumu barua ikiwezekana fika ofisi hadi ofisi face to face omba hata kujitolea, halafu sales and marketing huwa wako mahiri sana kwa kuongea kwa hiyo jitahidi kujieleza vizuri utapata tu rafiki yangu.
best wishes!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.