Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,101
- 24,358
Kukomoana tu, Wanafunzi wamekopa HESLB wanadaiwa mpaka milioni 40 na wapo serikalini na wengine ni wabunge na mawaziri hawaulizwi.Wapendwa natumaini hamjambo.
Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
Hii kitu yao ina mapungufu. Niliyoyaona ni haya yafuatayo;ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?
Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.View attachment 2738650
Najuaje kama nadaiwaWapendwa natumaini hamjambo.
Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
ina exaggerate madeni, nenda kwa wakaka wa parking barabarani wape namba watakupa control number/.Thanks. Done, nimeona madeni ya kutosha..!
Naamini kweli tumeshauzwaHao STL,STM, PT, J na DFP hawalipi ndio maana hawapigi miluzi, ingewahusu ungeskia tamko kama CRDB jana walitoa saa sita usiku kuhusu ile statement ya uongo iliyoandaliwa na CHAWA wa .......!
Ina makosa mno wala usifuatishe, nenda barbarani wale wa vimashine watajie namba ama traffic.Hii kitu yao ina mapungufu. Niliyoyaona ni haya yafuatayo;
1. Haionyeshi nilipaki wapi.
2. Haionyeshi nilipaki sehemu hiyo tarehe ngapi.
3. Haionyeshi nilipaki kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi
Mapungufu hayo, yanaweza yakafanya watu wakuandikie parking fee gari, wakati huo ikiwa nyumbani kwako. So long as anayeandika anaijua namba ya gari yako, basi anakubambika tu. Hata kama gari ipo Mbeya na wewe utaonekana umepaki Dar.
Mbaya zaidi kuna magari yanasoma yallipack mijini wakati ni mabovu siku nyingi yako garageHii kitu yao ina mapungufu. Niliyoyaona ni haya yafuatayo;
1. Haionyeshi nilipaki wapi.
2. Haionyeshi nilipaki sehemu hiyo tarehe ngapi.
3. Haionyeshi nilipaki kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi
Mapungufu hayo, yanaweza yakafanya watu wakuandikie parking fee gari, wakati huo ikiwa nyumbani kwako. So long as anayeandika anaijua namba ya gari yako, basi anakubambika tu. Hata kama gari ipo Mbeya na wewe utaonekana umepaki Dar.
Na siyo kando ya barabara,sahv maeneo mfano sleepway,shoppersplaza nk kote watu wa parking wanakuja kudaiParking kando ya barabara ni wizi wa mchana kweupe, maana yake wanataka watu wawe wanabeba magari mgongoni wakitaka kuingia mahali kununua bidhaa au kupata huduma? nimekaa majuu kuna street parking, watu wanapaki magari kando ya barabara mitaani kwenye maeneo yalipo makazi yao hata mwaka mzima na hakuna wanacholipia. Utaratibu wa kulipia parking unatakiwa uwepo kwenye maeneo maalumu yaliyojengwa kama maegesho na halmashauri au watu binafsi kama ilivyo mlimani city, siyo kando ya barabara zilipo huduma na biashara.........watu wame park eneo la bar wanapata vinywaji, mtu anakuja kutoza parking, hii haiwezi kuwa haki.
WAnatekeleza walichotumwa na madiwani, wao ni watekelezaji tu:Na siyo kando ya barabara,sahv maeneo mfano sleepway,shoppersplaza nk kote watu wa parking wanakuja kudai
Ila sasa hakuna alama wanazoweka kama sehemu hizo ni parking unalipia
Ova
Jamaa wanachukua fedha kihuni tuParking kando ya barabara ni wizi wa mchana kweupe, maana yake wanataka watu wawe wanabeba magari mgongoni wakitaka kuingia mahali kununua bidhaa au kupata huduma? nimekaa majuu kuna street parking, watu wanapaki magari kando ya barabara mitaani kwenye maeneo yalipo makazi yao hata mwaka mzima na hakuna wanacholipia. Utaratibu wa kulipia parking unatakiwa uwepo kwenye maeneo maalumu yaliyojengwa kama maegesho na halmashauri au watu binafsi kama ilivyo mlimani city, siyo kando ya barabara zilipo huduma na biashara.........watu wame park eneo la bar wanapata vinywaji, mtu anakuja kutoza parking, hii haiwezi kuwa haki.
AiseeNa siyo kando ya barabara,sahv maeneo mfano sleepway,shoppersplaza nk kote watu wa parking wanakuja kudai
Ila sasa hakuna alama wanazoweka kama sehemu hizo ni parking unalipia
Ova
Hizi sheria zinatungwa na madiwani walioiba kura mkuu unataka kulinganisha na wasomi wa mamtoni?Parking kando ya barabara ni wizi wa mchana kweupe, maana yake wanataka watu wawe wanabeba magari mgongoni wakitaka kuingia mahali kununua bidhaa au kupata huduma? nimekaa majuu kuna street parking, watu wanapaki magari kando ya barabara mitaani kwenye maeneo yalipo makazi yao hata mwaka mzima na hakuna wanacholipia. Utaratibu wa kulipia parking unatakiwa uwepo kwenye maeneo maalumu yaliyojengwa kama maegesho na halmashauri au watu binafsi kama ilivyo mlimani city, siyo kando ya barabara zilipo huduma na biashara.........watu wame park eneo la bar wanapata vinywaji, mtu anakuja kutoza parking, hii haiwezi kuwa haki.
Wasipothibitiwa hawa wajinga watakuja mpaka mbele ya nyumba yako kudai parkingJamaa wanachukua fedha kihuni tu
Ova
Mtu anaenda palm village mfanoAisee
Ni wapumbavu sana hawa, hayo ni maeneo binafsi ya wanaomiliki hayo maeneo, hawatakiwi kabisa kusumbua watu
WAhindi wanafanyiwa hivyo sema wanaogopa kuhoji wata-ulizwa uraia wao.Wasipothibitiwa hawa wajinga watakuja mpaka mbele ya nyumba yako kudai parking
Huo ni uhuniWasipothibitiwa hawa wajinga watakuja mpaka mbele ya nyumba yako kudai parking
Alafu mtu wa Parking kishapiga picha anakuja Masai na Yeye anataka umtoe, pumbav sana hawa watu.Mtu anaenda palm village mfano
Anaingia na gari hapo anakutana na watu wa parking
Ova
Tayari wanafanya hivyo. Ilala wanakuja mpaka mlangoni na vimashine vyao.Wasipothibitiwa hawa wajinga watakuja mpaka mbele ya nyumba yako kudai parking
Hivi wakikutana na mbishi, akaenda mahakani kwa kutumia hiyo deadline, akawadai fidia, kwa kukaa na gari lake ambalo analitumia kwa shuguri zake, watatafutana ubaya. Mfano hiyo hapo chini ingawa deni halijafika kiasi wanachokamata.Halafu ajabu hizi parking fee zina deadline ya tarura sasa inakuwaje wakamate mtu leo ambae deadline yake ni November?
Lakini zile parking mbele ya maduka yao ni kweli za serikali ya mitaa, zamani zilikuwa na hizi machineWAhindi wanafanyiwa hivyo sema wanaogopa kuhoji wata-ulizwa uraia wao.
Ongea na wahindi wa Posta, Kitumbini, Samora qvenue wakwambie.