ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?
Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.
View attachment 2738650