Paradox ya CCM - "Britanicca"

Unayo haki na uhuru wa maoni, hakuna ibara wala kifungu cha sheria kinachosema kuwa mfuasi wa chama fulani kunakuondolea haki yako ya kikatiba na hata hile inayotambuliwa kisheria.

Chukua hatua ya kuwasilisha maoni yako upendavyo mladi tu hauvunji sheria.

chanzo: www.katibampya.com
 
Kuna tofauti kati ya mzalendo na mwanasiasa (nationalist vs politician).
Kwa sasa hatuna wazalendo, wapo wanasiasa wanaowaza faida yao binafsi au zaidi sana ndugu na marafiki.
Wazalendo watafikiria taifa kwa ujumla.
Changamoto tuliyonayo kwa nyakati hizi, katika utumishi wa uma, na jamii kwa ujuma, wazalendo ni wachache sana. Wapo vibaraka, chawa, mafisadi, majuha na majinga. Hili ni janga la kitaifa.
Tunahitaji majasiri wazalendo kwenye madaraka waanze kutoa upya elimu ya uzalendo kwa vitendo.
 
Ni maoni ndani ya Ccm.
Endelea mutoa maoni mkuu.

Sisi waafudhina tunataman sana chama chetu kibadili sana aina ya siasa zake.

Watu wanataka maendeleo , Matokeo, na Furaha .

Nalog-off
 
Ila wakati wa Mkapa na alivyoua watu kule Zenji ulikuwa poa
Wakati Kikwete ukaibuka na gozigozi
Alivyokuja Magu ukatulia
Na sasa umeibuka tena
Hii inaitwa Pattern Recognition
 
Udini hauna nafasi,akitawala mtawala wa dini yako unafaidika nini?haya sasa unafaidika nini,ama ushabiki kama simba na yanga,..nvhi ikiwekewa vikwazo ama petroli ikipanda bei, wananchi wote bila kujali dini zao wata athirika na mfumuko wa bei ,n hali ya manadiliko ya kiuchumi.

watu wakiumizwa yale ya O29 kwani ni watu wa dini moja tu ndio walioathirika??

Hata mkichagua viongozi wengi wa dini moja mkawarundika serikalini wamesaidia nini ?wameleta faida gani?

NA PROPAGANDA ZA KUWAGAWA WATU KWA UDINI zilianzishwa lakini ZIKAFELI na hazitafanikiwa.
 
Mi ni CCm kitambo dogo, Tatizo mnadhan CCM lazima kila mtu awe muimba mapambio

Britanicca
Na ndiyo shida kubwa iliyopo hivi sasa, mimi naamini wapo wana CCM wenye akili na wanajua mambo yanayoendelea hivi sasa mengi ni hovyo lakini hawawezi kutoka angalau anonymously kusema ukweli.

Inataka uwe mtu wa misimamo haswa kukosoa chama chako pindi unapoona mambo hayaendi inavyopaswa. Nakubaliana na mdau hapo juu, you're principled.
 
Hata Lissu akikosea akitokea Lema amemkosoa ni vita.


Mwanasiasa apendi ukweli.


Kila mwanasiasa upenda kushabikiwa hata yale ya uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…