Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
PM kaulizwa kwanini Rais anapokuwa nje ya nchi anamwachia mamlaka Makamu wa Rais, naye kama hayupo ulingo unaachwa kwa PM, sasa hili suala la Kumuondoa madarakani Jairo KM imekuaje linasuasua wakati Makamu wa rais anaweza kumnyofoa tu??
Pinda kajibu pouwa: kwamba kuna kikomo chake kiutendaji, kwani Rais asipokuwepo huwezi kuanza kufukuza watu tu, au kuwafungulia wafungwa, hii kuna ukomo wake.
Swali la DECI naona kalikimbia, kadai lipo mahakani na kawasihi hasa walimu wawe makini na hizi type za DECI, kwani wao ni rahisi kurubuniwa.
Pinda kajibu pouwa: kwamba kuna kikomo chake kiutendaji, kwani Rais asipokuwepo huwezi kuanza kufukuza watu tu, au kuwafungulia wafungwa, hii kuna ukomo wake.
Swali la DECI naona kalikimbia, kadai lipo mahakani na kawasihi hasa walimu wawe makini na hizi type za DECI, kwani wao ni rahisi kurubuniwa.