pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,098
- 12,473
Labda radio mbao ila ni hit song tayariHaaaah mbona wimbo haupati airtime wala support tatizo nini
Mbona hata subira ime hit bila promo kizuri chajiuza bwana
Labda radio mbao ila ni hit song tayariHaaaah mbona wimbo haupati airtime wala support tatizo nini
Labda radio mbao ila ni hit song tayari
Mbona hata subira ime hit bila promo kizuri chajiuza bwana
Data house girl wa diamond haha au umeacha??We dogo akili zako..!!'
kura yangu ya huruma inaenda kwa papii.
Ni ngumu sana kuwalinganisha hasa ukizingatia kila mmoja katoka kwa Muda wake.
Ila lililo bayana wote ni wakali kinoma.
Nimemsikiliza sana anajua lakini hana uwezo wa kuvaa viatu vya Bella!
Mida fulani ya alasiri nilikuwa nikisikiliza wimbo wa huyu muimbaji ambaye kwa sasa yuko kifunguni,nilimuwaza sana na nikahisi angekuwepo muda huu huku urain basi angekuwa akitoa upinzan wa kutosha kwa mkali mwengine anayekimbiza huku kitaani,hivi unafikiri kwa hawa wakali wawili ungewekwa mchuano we ungempigia nan kura kati ya papii kocha na bela karibu MWANA JAMII FORUM ufunguke.
Kweli kuwa na sikio la Muzik kipaji!Papii hakua na Sauti ya kumshinda hata Jose Mara,Malou stonch au Charles Baba ila alikua rapper mzur anajua maneno ya kitaa na kutumia kwenye ghani ila kwa uimbaji hamuwezi Bella hata hizo nyimbo mnazotaja ameimba alirudia za Nguza na alifundishwa aimbaje na Babake!Bella ni utunzi wake na Jeshi la mtu moko
Kweli kuwa na sikio la Muzik kipaji!Papii hakua na Sauti ya kumshinda hata Jose Mara,Malou stonch au Charles Baba ila alikua rapper mzur anajua maneno ya kitaa na kutumia kwenye ghani ila kwa uimbaji hamuwezi Bella hata hizo nyimbo mnazotaja ameimba alirudia za Nguza na alifundishwa aimbaje na Babake!Bella ni utunzi wake na Jeshi la mtu moko
Your not serious kabisa kumlinganisha Papii na kina Charles Baba au Jose Mara .Wimbo wa Salima aliurudia?