Halikuwa tupu, huyu ,piga picha hakuwa mtu?Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo hii ameongoza ibada ya Jumapili ya Matawi, katika kanisa la Mtakatifu Petro Basilica likiwa tupu kabisa kutokana na vizuizi vya kukabiliana na virusi vya corona.
Katika ibada hiyo inayofanyika kwa namna hiyo kwa mwaka wa pili mfululizo Papa amewataka watu kujisogeza karibu katika kuwasaidia masikini na wagonjwa.
Katika nyakati za kabla ya janga la corona, Jumapili ya Matawi, ambayo inaashiria mwanzo wa Wiki Takatifu kwa Wakatoliki kuelekea siku ya Pasaka, maelfu ya watu wakiwa wameshika matawi mikononi walikuwa wakishiriki ibada hiyo ya wazi katika kanisa hilo Mtakatifu Basilica.
Mkuu why don't you keep inside yourself...?Sisi huku dio wabishi
Mdudu korona anaweza penya tuu hapo, Mungu tuu ana tusaidia.Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo hii ameongoza ibada ya Jumapili ya Matawi, katika kanisa la Mtakatifu Petro Basilica likiwa tupu kabisa kutokana na vizuizi vya kukabiliana na virusi vya corona.
Katika ibada hiyo inayofanyika kwa namna hiyo kwa mwaka wa pili mfululizo Papa amewataka watu kujisogeza karibu katika kuwasaidia masikini na wagonjwa.
Katika nyakati za kabla ya janga la corona, Jumapili ya Matawi, ambayo inaashiria mwanzo wa Wiki Takatifu kwa Wakatoliki kuelekea siku ya Pasaka, maelfu ya watu wakiwa wameshika matawi mikononi walikuwa wakishiriki ibada hiyo ya wazi katika kanisa hilo Mtakatifu Basilica.
Hawezi kuwa mjinga ka mekoKiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo hii ameongoza ibada ya Jumapili ya Matawi, katika kanisa la Mtakatifu Petro Basilica likiwa tupu kabisa kutokana na vizuizi vya kukabiliana na virusi vya corona.
Katika ibada hiyo inayofanyika kwa namna hiyo kwa mwaka wa pili mfululizo Papa amewataka watu kujisogeza karibu katika kuwasaidia masikini na wagonjwa.
Katika nyakati za kabla ya janga la corona, Jumapili ya Matawi, ambayo inaashiria mwanzo wa Wiki Takatifu kwa Wakatoliki kuelekea siku ya Pasaka, maelfu ya watu wakiwa wameshika matawi mikononi walikuwa wakishiriki ibada hiyo ya wazi katika kanisa hilo Mtakatifu Basilica.
Hawana shida nazo, kwakua huwa zinatumwa za dunia nzima.Ameonyesha mfano mzuri. Sasa huku kwetu kila wakifikiria sadaka π€£π€£π€£