Kazi ndogo hiyo mpelekee Fundi wa tv mwambie akubadilishie IC ya MEMORY.kinachofanyika hapo anatoa hiyo iliyotunza kumbukumbu kuwa tv imelokiwa halafu anaweka IC kama hiyo hiyo ambayo yenyewe iko wazi.Ni hilo tuu Natumai bei yake yawezakuwa sh 10,000