TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Nauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es salaam.Inauzwa pamoja na SD card ya 4GB pamoja na battery 2 na charger.Bei ni shs 400,000 na kwa mawasiliano piga namba hii 0766 915 299.
[h=3]Detailed item information[/h]
[h=3]Detailed item information[/h]