Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,375
- 105,199
- Thread starter
- #81
hiyo ndio changamoto ya utandawazi hauwezi kuwa shujaa bila aduiUnaposema hutoweza kununua softwares kwa developers unakua unakosea sana. Developers wanakutegemea wewe ili software iendelee kuwepo na ubunifu zaid. Sasa mnapotumia cracks mnawafelisha sana. Mfano kampuni ya Sony walikuwa wanatengeneza software ya Vegas Pro, Baada ya kuona faida ni ndogo, Cracks zinekuwa nyingi na developers kuwalipa ni ishu wakaona bora waiuze software brand yote kwa kampuni nyengine, Sasa inaitwa Magix Pro.
developers wanaoweza kutoboa kwenye hizi zama hao ndio ma fighters