magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,375
- 13,045
Unasound kana kwamba Virus anaemsumbua Juma ndo anaemsumbua Shakira. Hujakutana na virus bado.Sio kununua tu CD ata wewe ambae una download Antivirus unaonekana bado mshamba..kuna njia 1 matata sana ya kuuwa virus zote bila software sema suu nkupe iyo njia