ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kwa walioangalia game ya jana watakubaliana nami kwa sasa Barca baada ya misukosuko yote soon tunaenda kurudisha ufalme wetu ktk soka la dunia.
Timu imecheza kwa maelewano makubwa pasi za uhakika na umiliki wa kiwango cha juu sasa umerudi! PSG jana wameutafuta kwa tochi!
Ni wakati saa Rais wetu mteule Laporte kukisuka kikosi kwa kurekebisha mapungufu hasa pale mbele kwenye ushambulizi, kuna watu pale ushawishi wa kuendelea kuwemo barca ni mdogo Othuman Dembele, Braithwaite, Greizman, Pjanic hawa watu ni wa kuwauza tu pale tupate watu kama Lautaro Martinez, Neymar Jr, Haaland waje wasaidiane na madogo akina Ansufat, Puig.
Kwa watu hawa hata Messi atarudi ktk kiwango chake...beki nayo jana imecheza vizuri sana kupanda na kushuka kwa wakati hongera kwao wakiongozwa na kijana Dest
Timu imecheza kwa maelewano makubwa pasi za uhakika na umiliki wa kiwango cha juu sasa umerudi! PSG jana wameutafuta kwa tochi!
Ni wakati saa Rais wetu mteule Laporte kukisuka kikosi kwa kurekebisha mapungufu hasa pale mbele kwenye ushambulizi, kuna watu pale ushawishi wa kuendelea kuwemo barca ni mdogo Othuman Dembele, Braithwaite, Greizman, Pjanic hawa watu ni wa kuwauza tu pale tupate watu kama Lautaro Martinez, Neymar Jr, Haaland waje wasaidiane na madogo akina Ansufat, Puig.
Kwa watu hawa hata Messi atarudi ktk kiwango chake...beki nayo jana imecheza vizuri sana kupanda na kushuka kwa wakati hongera kwao wakiongozwa na kijana Dest