Nakuunga mkono hoja yakoUsione aibu kwa HUSTLE zako. kuuza nguo, kuuza chakula, kuuza vipodozi, kuuza kuku, kuuza chaja za simu, kufanya kilimo, kufanya muziki, kuwa mchekeshaji nk.
Usione aibu jinsi unavyotengeneza pesa, Ni njia ya kujikimu. Usiruhusu kazi/hustle zako zikunyime furaha yako. Unafanya kazi ili uishi huishi ili ufanye kazi. Usione aibu, watu hawatakulipia bili zako au kukulisha au kukununulia nguo.. ukiwaendekeza hustle zako zitakushinda.
Kumbuka: Una bili za kulipa na familia ya kulisha sio jamii ya kufurahisha.
Changamkia dili hizo maana The end justifues the means.. Mwisho wa siku utaangaliwa una nini kibindoni..!
View attachment 3303106
Usione aibu kwenye pesa hata siku moja, heshimu pesa usiitupe hovyo maana pesa hupenda kukaa mahali penye akili. Fursa sometimes hutengenezwa, lazima uwe umejiandaa Ili kuitumia fursa vizuri hivyo lazima uwe na subra kwenye mambo yako mengi ya kimafanikio.
Kitu wengi wasichokijua, mafanikio siyo bahati, lazima uwe na determination Ili kuyafikia na kuyavutia, kwenye huu ulimwengu wa material things hakuna bahati bali ni vile mtu hajui kuwa ameyavutia mafanikio Kwa namna Fulani, kumbuka Iko pumzi ya kimungu ndani yetu hivyo unavyofikiri na kutenda ndivyo hivyo hivyo utakavyokuwa.
Huyu chui anawakilisha ubaya wa njaa.Usione aibu kwa HUSTLE zako. kuuza nguo, kuuza chakula, kuuza vipodozi, kuuza kuku, kuuza chaja za simu, kufanya kilimo, kufanya muziki, kuwa mchekeshaji nk.
Usione aibu jinsi unavyotengeneza pesa, Ni njia ya kujikimu. Usiruhusu kazi/hustle zako zikunyime furaha yako. Unafanya kazi ili uishi huishi ili ufanye kazi. Usione aibu, watu hawatakulipia bili zako au kukulisha au kukununulia nguo.. ukiwaendekeza hustle zako zitakushinda.
Kumbuka: Una bili za kulipa na familia ya kulisha sio jamii ya kufurahisha.
Changamkia dili hizo maana The end justifues the means.. Mwisho wa siku utaangaliwa una nini kibindoni..!
View attachment 3303106
Viatu vimekuwa vizito.
Jamaa anamafeelings hadi anafikirisha.
Haufungiki mbona?Huu uzi umenifanya niusikilize huu Wimbo tenaView attachment 3303150
Inaweza isiwe ubaya wa njaa tu ila pia kuwakilisha kwamba ili kupata kitu chenye thamani yakubidi kupambana na kujitoa @mshaja JrHuyu chui anawakilisha ubaya wa njaa.