ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Mhhhhhhhhhh! maisha haya tabu sana kila kitu kibaya tu. sasa tukae na masikio yenye asali ndania yake. maana huwa najisikiavibaya sana, unamkuta kaka mtanashati au dada mrembo haswaaa lakini masikio yake kwa ndani yamejaa huo uchafu mpaka kinyaa!Tutumie nini sasa wakuu, toeni ushauri. Tutumie nini mbadala wake.