Pagale linauzwa haraka bei poa Dodoma mjini

Pagale linauzwa haraka bei poa Dodoma mjini

hahaa umenikumbusha mbali sana hili neno 'PAGALE' kikwetu usukumani ni jengo lililotelekezwa lisilo na paa ambalo awali lilikuwa ni nyumba ya kuishi, linaweza kuwa nyumba iliyopata ajali ya moto baadaye ikanyeshewa mvua na kuachwa bila kutumika kwa muda mrefu.
 
hahaa umenikumbusha mbali sana hili neno 'PAGALE' kikwetu usukumani ni jengo lililotelekezwa lisilo na paa ambalo awali lilikuwa ni nyumba ya kuishi, linaweza kuwa nyumba iliyopata ajali ya moto baadaye ikanyeshewa mvua na kuachwa bila kutumika kwa muda mrefu.
Sisi kwetu WAGOGO Nyumba ya aina hiyo inaitwa Ghofu
[HASHTAG]#MGOGO27[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom