Padri amwagiwa tindikali huko zanzibar, tukio hili limetokea jana jioni huko zanzibar, jamani wazanzibar mna nini, na kwanini mnawafanyia watu haya haya mambo? source ni magazeti yote ya leo, kipindi cha mapitio ya magazeti RFA
Hivi karibuni vichuguu vyote viwili(pemba na unguja) vitazama naharini na hakuna hata panya mmoja atakaye pona.. .misri walianza hivihivi, sasa wanaogelea ktk dimbwi la damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.