Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 284
Padri Mwalusakisyo ameua Mgonjwa. Ilikuwa jion alipokuja kumuombe Mose. Wakati akiendelea kumuombea, kwa bahati mbaya akakanyaga waya wa umeme ambao umeunganishwa na mashne ya kupumulia. Ghafla,mashne ilisimama na Mose kushndwa kupumua.
Mose alikuwa mahututi, hawez kuongea, akaomba peni na kalamu. Padri akasema mpeni anataka kuacha WOSIA. Basi Mose akaandika ujumbe kwa Padri "TOA MGUU, UMEKANYAGA WAYA NASHNDWA KUPUMUA" Padre akachukua ujumbe akaweka kwenye shati lake. Akaendelea kuomba maombi!
Hatimaye Mose akakata roho, Padri anamuangalia. Akaongea na ndugu wa marehemu na wakapanga mazishi kesho yake.
Padri akazika na kuwezesha mpango mzima wa maziko kukamalika. Mwishowe akakumbuka, akawaambia watu "Marehemu aliacha usia,subiri niwasomeeni"... Alipofungua kaujumbe lo! ALITAMAN KUPASUKA!
Mose alikuwa mahututi, hawez kuongea, akaomba peni na kalamu. Padri akasema mpeni anataka kuacha WOSIA. Basi Mose akaandika ujumbe kwa Padri "TOA MGUU, UMEKANYAGA WAYA NASHNDWA KUPUMUA" Padre akachukua ujumbe akaweka kwenye shati lake. Akaendelea kuomba maombi!
Hatimaye Mose akakata roho, Padri anamuangalia. Akaongea na ndugu wa marehemu na wakapanga mazishi kesho yake.
Padri akazika na kuwezesha mpango mzima wa maziko kukamalika. Mwishowe akakumbuka, akawaambia watu "Marehemu aliacha usia,subiri niwasomeeni"... Alipofungua kaujumbe lo! ALITAMAN KUPASUKA!