Padre (dokta) Henry Rumisho (PHD)

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.

Mapadri Ambao Ni Wanajeshi Hujulikana Kama "Military Ordinariate" .

 
Aombe asikutane na Kingai ataishia kuwekwa kwenye sandarusi na kutupwa baharini

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mbaya zaidi mtu kama utakuta alikua anapelekeshwa na makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…