Padre akawaambia waumini wote wafunge macho ili waombee mvua ili inyeshe, cha kushangaza walipofumba macho tu, mshkaji mmoja aliyevimbiwa kande akajamba kwa sauti, padre ikabidi aropoke maneno yafuatayo "hebu fumbueni macho na muumini aliyejamba nimemuona sasa nafunga misa kwa sababu licha ya kujambia hekalu na misa pia umeniudhi kwa sababu wenzako tunaomba MVUA halafu wewe UNALETA MINGURUMO! Muumini aliyejamba akajibu 'hizi ni dalili za mvua mnayoomba, ni mingurumo ya radi itakayoambatana na mvua' misa ikafungwa ghafla!