kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,882
- 3,529
😅 Unaota weweMimi sio mtume, nabii wala mtabiri
ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina benard morrison, emmanuel okwi, beno kakolanya, juma kaseja, mrisho ngassa, amri kiemba athuman idd chuji n.k ni mkubwa,
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka mkataba.
Tuendelee kufatilia.
Inaonekana una msongo wa mawazo.Hizi ndio mambo sisi tunataka kusikia. Heko viongozi wetu na mbaki madarakani forevaaaa. Sasa hivi zimefika kauli 6 hureeeeee
1. Goli la azizi halikuwa halali dhidi ya mamelodi
2. Refa wa mamelodi kapangiwa kuchezesha olimpiki
3. Pakome mnyama next season
4. Simba ni ya 4 Afrika na hata ligi ya Tanzania tukiwa wa tisa sisi ndio tutashiriki AFL
5. Simba ndio timu tajiri Afrika mashariki
6. Simba ndio ya kwanza kuanzisha chanel ya whatsapp
Sasa hivi viongozi wame advance hakuna tena kauli kama Yanga inatumia bahasha au Yanga inabebwa
Na Aziz Ki anakwenda Azam.Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri
ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina benard morrison, emmanuel okwi, beno kakolanya, juma kaseja, mrisho ngassa, amri kiemba athuman idd chuji n.k ni mkubwa,
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka mkataba.
Tuendelee kufatilia.
Diarra , Yao na Aucho wanaenda NamungoNa Aziz Ki anakwenda Azam.
Aziz Ki si amesaini mkataba mpya?Na Aziz Ki anakwenda Azam.
Hata wewe mkuu, kupigwa bao 7 na point 6 kwa mshindani wako utaachaje kuweweseka🤣😅 Unaota wewe
Namungo sidhani kama wana hiyo bajeti na hata kama wanayo itatumika nguvu ya ziada kuwashawishi ila lolote linawezekana kama fedha zipo.Diarra , Yao na Aucho wanaenda Namungo
7. Simba imeichangia yanga goli 7 na point 6 msimu huu.Hizi ndio mambo sisi tunataka kusikia. Heko viongozi wetu na mbaki madarakani forevaaaa. Sasa hivi zimefika kauli 6 hureeeeee
1. Goli la azizi halikuwa halali dhidi ya mamelodi
2. Refa wa mamelodi kapangiwa kuchezesha olimpiki
3. Pakome mnyama next season
4. Simba ni ya 4 Afrika na hata ligi ya Tanzania tukiwa wa tisa sisi ndio tutashiriki AFL
5. Simba ndio timu tajiri Afrika mashariki
6. Simba ndio ya kwanza kuanzisha chanel ya whatsapp
Sasa hivi viongozi wame advance hakuna tena kauli kama Yanga inatumia bahasha au Yanga inabebwa
Si kweli.Dick job kashasaini mashujaa
Wenzako wanfanya mzaha tu mkuuSi kweli.