PACOME DAY "Kitaalamu Zaidi"

  • Thread starter Thread starter guest-1787677877
  • Start date Start date
  • Tags Tags
    day
Aziz Ki day itabidi mjipake tomato sauces midomoni!
 
Ila tungepeleka juhudi kwenye kubuni mbinu za kumpiga mkono wa nyani mwarabu ungefanya la maana kuliko kufanya huu ujinga wa kupaka bleach kama mashangazi wa Kinondoni.

Urembo mwingine ni kijidharirisha tu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila tuweni wakweli hii siku imewaumiza wengi sana. πŸ˜‚πŸ˜‚

#Kitaalamuzaidi.
Wengi wao walioumizwa ni wale wanaolazimishwa wawe na mwonekano wa kike ilhali wao ni wanaume.

Ali Kamwe kawa kama demu wa Sinza baada ya kupaka bleach, unadhani mjomba ake atatulia tu ? Lazima aumie kwa kuona kijana wake wa kiume akibadilika na kuwa na mwonekano wa kike.
 
Lol
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…