PACOME DAY "Kitaalamu Zaidi"

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Feb 21, 2024
626
1,210
Siku zikiwa zimetaradadi kuelekea mechi ya Yanga na CR ambayo sisi kama wana Yanga tumeamua kuuita PACOME DAY" Kitaalamu zaidi", ewe mwananchi tupia picha za maandalizi ya siku hii muhimu ikiwa kama njia ya kuanza kuhamasishana kuujaza uwanja.

Kumbuka: Kulikuwa na Kibu DAY katika tarehe 5imba/11/2023. Ewe guvumoya a.k.a tatu Malogo FC kaa mbali na PACOME DAY kwani mlikandwa 5, wakati wa Kibu DAY.
FB_IMG_1708616988859.jpg
FB_IMG_1708616993429.jpg
FB_IMG_1708616998153.jpg
 
Ila tungepeleka juhudi kwenye kubuni mbinu za kumpiga mkono wa nyani mwarabu ungefanya la maana kuliko kufanya huu ujinga wa kupaka bleach kama mashangazi wa Kinondoni.

Urembo mwingine ni kijidharirisha tu 😂
Sisi kuwapiga mkono wa nyani waarabu hatutaki sisi tulikuwa tunataka kumpiga mkono wa nyani yule Mbumbumbu FC inatosha.
 
Ila kupaka bleach kama Kajala ex wa Konde boy mwataka 😂😂

Wananchi akili itakaa sawa lini?

Mwarabu kaja kuchukua point 3, halafu nyie mmekomaa na bleach kama mashangazi ya kino 😂
kama ipo ipo tu. kuliko kukosa vyote. wacha watu wakipige kipacome 😂😂, waenjoy life.
no body knows tomorrow
 
Ila tungepeleka juhudi kwenye kubuni mbinu za kumpiga mkono wa nyani mwarabu ungefanya la maana kuliko kufanya huu ujinga wa kupaka bleach kama mashangazi wa Kinondoni.

Urembo mwingine ni kijidharirisha tu 😂
mwarabu kupigwa kono la nyani sio kazi yako ni kazi ya viongozi kocha na wachezaji,sisi mashabiki yetu ndo hayo ya pacome day
 
Siku zikiwa zimetaradadi kuelekea mechi ya Yanga na CR ambayo sisi kama wana Yanga tumeamua kuuita PACOME DAY" Kitaalamu zaidi", ewe mwananchi tupia picha za maandalizi ya siku hii muhimu ikiwa kama njia ya kuanza kuhamasishana kuujaza uwanja.

Kumbuka: Kulikuwa na Kibu DAY katika tarehe 5imba/11/2023. Ewe guvumoya a.k.a tatu Malogo FC kaa mbali na PACOME DAY kwani mlikandwa 5, wakati wa Kibu DAY.
View attachment 2912406View attachment 2912407View attachment 2912408
Haya ni matambiko by Mpili mkurugenzi wa benchi la ufundi wa MAJINI FC
 
Siku zikiwa zimetaradadi kuelekea mechi ya Yanga na CR ambayo sisi kama wana Yanga tumeamua kuuita PACOME DAY" Kitaalamu zaidi", ewe mwananchi tupia picha za maandalizi ya siku hii muhimu ikiwa kama njia ya kuanza kuhamasishana kuujaza uwanja.

Kumbuka: Kulikuwa na Kibu DAY katika tarehe 5imba/11/2023. Ewe guvumoya a.k.a tatu Malogo FC kaa mbali na PACOME DAY kwani mlikandwa 5, wakati wa Kibu DAY.
View attachment 2912406View attachment 2912407View attachment 2912408
Pacome Day, Bleach Day.
Naisubiri kwa hamu hiyo kesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom