tumezaliwa mapacha tunaofanana sana kiasikwamba hata marks zetu darasani zinakaribiana sana.tunapendana saaana. lakini tatizo huyu mdogo wango (doto) kila napokuwa na uhusiano na mwanaume na yeye pia anamtaka huyo huyo, atafanya juu chini mpaka ata............ naye. mbaya zaidi wanaume inawachukua muda sana kututofautisha na hapo ndipo twin wangu anachukua nafasi.nifanyeje jamani?????
angalizooooo: ni ushauri tu unahitajika ndugu zangu wapenzi na sio kejeri na matusi