Hata Tanzania yametendeka kama haya. Kitu cha kujipa moyo ni kuwa "maiti haiwezi kufichwa kabatini", nakusudia kwenye makabrasha ya wahalifu, lazima siku moja yatatoka nje. Mungu awarehemu Sokoine, Kolimba, Malima, Wangwe......Sehemu haitoshi kutaja orodha yote, hasa ya Zanzibar katika miaka ya 60 na 70.