Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo na Makamu wa kwanza wa Rais Zazibar Othman Masoud Othman anaeleza kuwa
"Kwenye Tume ya Haki Jinai nilipendekeza Polisi wasiongozwe na wanasiasa. Inakuwaje Polisi waongozwe na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya ambaye ameelezwa wajibu wake ni kuhakikisha CCM inashinda? Mimi ninajua hata Polisi wenyewe hawapendi kuongozwa na wanasiasa. Jeshi la Polisi liwe chombo huru kinachofanya kazi kwa weledi."
View attachment 3348661