Oteas

Oteas

Habari wana jf
Msaada kama kuna mtu kaweza kuapply ajira ya ualimu oteas maana mimi tokea jana ina load tu haifunguki kabisa....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata hivyo kwa mazingira yote inahitaji uvumilivu hadi kufanikiwa kuapload (Appr. 2 - 10 mins au zaid kulingana na mazingira ikiwemo PC yenyewe)
4. Pamoja na hayo yote bado inakubidi kuomba Mungu maana bila yeye unaweza hata ukakata tamaa mapema tuu, imani muhimu.
5. Jitahidi ufanyie kazi hili bado siku moja tuu.

@ Manyuc
 
Back
Top Bottom