Orodha ya wasomi tuliopoteza

Orodha ya wasomi tuliopoteza

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Kuna wimbi la taifa kupoteza wasomi kwa kushambuliwa na majambazi. Kabla ya Dr Mvungi, Prof. Mwaikusa aliuwawa July.2010.. Wanajamii taja wengine.. ..
 
Kwakweli inasikitisha sana,wahuni wasiojua umuhimu wa wasomi wakitekeleza mauaji bila huruma!
 
NICAS MAINDA.alikuwa na kiwanja Mbezi
ambacho hakijajengwa. akaja
Mzungu fulani akajenga kwenye
kile kiwanja. mahinda akamuacha
Mzungu akajenga nyumba
ghorofa hadi ikaisha. Ilivyo isha
mahinda akamwambia mzungu
nipe funguo za nyumba yako
sababu umejenga kwangu. baada
ya kufuatilia wakaona ni kweli.
mzungu akaomba waongee
mahinda kakataa. Mzungu
kapanda ndege kurudi kwao.
baada ya mda mahinda
akauwawa. je hapo kuna
uhusiano kati ya mzungu na
kifo?. mwenye details atusaidie.
 
NICAS MAINDA.alikuwa na kiwanja Mbezi
ambacho hakijajengwa. akaja
Mzungu fulani akajenga kwenye
kile kiwanja. mahinda akamuacha
Mzungu akajenga nyumba
ghorofa hadi ikaisha. Ilivyo isha
mahinda akamwambia mzungu
nipe funguo za nyumba yako
sababu umejenga kwangu. baada
ya kufuatilia wakaona ni kweli.
mzungu akaomba waongee
mahinda kakataa. Mzungu
kapanda ndege kurudi kwao.
baada ya mda mahinda
akauwawa. je hapo kuna
uhusiano kati ya mzungu na
kifo?. mwenye details atusaidie.

Mkuu tunaomba umalizie hii hadithi. Baada Nicas Mahinda kufariki ghafra, je ghorofa hilo alichukua mzungu? I mean hati za kiwanja zilibadilishwa na kupewa mzungu?!
 
mkuu unaogopa kung'olewa meno na kucha bila ganzi? Dah hatari sana walale mahala pema amen😛rof Juan Mwaikyusa,Prof Wambali,Prof Babu ,Prof Chachage,Dr Mvungi,Prof Saitoti,Prof Garang John.

Mie napita tuuuuu jamani
 
Ila kuna hawa wanaoishi wakiwa wafu! Kapuya ni Profesa,ila ujinga aliofanya ana tofauti gani na mtu anayeishi huku amekufa kimawazo,kibusara na hata kiakili?
 
tunazidi kupoteza watu makini huku waliohusika wakiendelea kutesa na kuringa sijui ccm hayo mauaji mpaka lini?
 
Mwaikusa, alivamiwa pia nyumbani kwake naye alikuwa hapo kitivo cha sheria.
 
Gibonese Mwaikamb
Kombey
Mwangose

Nearmisses/Almanusra
Kibander
Mwakiiyembe
FreeMa Mboye
Ulimbk
Kubeneyer

Mpaka hapo dana dana kibaaaaaao
 
Prof wapo watatu tu Tanzania nguli wa hisabati Prof shayo amefariki maprof walio baki ni Prof Luhanga, na Prof Mwandosya
 
Back
Top Bottom