SUPERUSER
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 960
- 307
Habari wakuu,
Ivi ni kwanini Vodacom haiko kwenye orodha ya makampuni 15 ya walipa kodi bora iliyotajwa na pm?.Mimi najua vodacom ni kampuni kubwa kuliko airtel kwa kuwa mtandao wake unaongoza kwa kuwa na subscribers wengi ukiacha mbali mamilioni ya watanzania wanaotumia huduma ya mpesa..na ni kwanini hawa vodacom hawadisclose financial statement zao(audited report)? Je watakua wana evade kulipa kodi?...Ni kweli Rostam Aziz anamiliki 35% ya kampuni hii?
Jambo lingine la kushangaza sana katika orodha hii ni kutokuwepo kwa kampuni kubwa za madini. Katika orodha hii kuna kampuni moja tu ya madini, Resolute. Kampuni hii ina mgodi mmoja tu uliopo Nzega. Mgodi mkubwa zaidi nchini ni Geita Goldmine unaomilikiwa na AngloGoldAshanti, haimo katika orodha. Kampuni ya AfricanBarrickGold inamiliki migodi 4, North Mara, Buzwagi, Tulawaka na Bulyanhulu. Hii ndio kampuni kubwa ya madini kuliko zote mpaka kufikia hatua ya kujoin London stock of exchange,haimo katika orodha.
On top of that, Mohamed Entreprises uzalishaji wake ni sawa na asilimia 4 ya uzalishaji wa nchi (GDP). Haimo katika orodha.
Bakhresa Group of companies ni moja ya kampuni kubwa nchini zenye mafanikio makubwa katika mauzo ya nje. Kimsingi mwaka 2010 mafanikio makubwa katika kuuza ndani ya Afrika Mashariki, yanatokana na kampuni hii. Ziada tuliyonayo dhidi ya nchi nyingine za EAC katika mauzo nje kimsingi ni ziada ya Bakhresa Group, haimo katika orodha.
Kwa uelewa wangu makampuni huwa yanalipa corporate tax at the rate of 30%...au vigezo vimebadilika wakuu?
Ivi ni kwanini Vodacom haiko kwenye orodha ya makampuni 15 ya walipa kodi bora iliyotajwa na pm?.Mimi najua vodacom ni kampuni kubwa kuliko airtel kwa kuwa mtandao wake unaongoza kwa kuwa na subscribers wengi ukiacha mbali mamilioni ya watanzania wanaotumia huduma ya mpesa..na ni kwanini hawa vodacom hawadisclose financial statement zao(audited report)? Je watakua wana evade kulipa kodi?...Ni kweli Rostam Aziz anamiliki 35% ya kampuni hii?
Jambo lingine la kushangaza sana katika orodha hii ni kutokuwepo kwa kampuni kubwa za madini. Katika orodha hii kuna kampuni moja tu ya madini, Resolute. Kampuni hii ina mgodi mmoja tu uliopo Nzega. Mgodi mkubwa zaidi nchini ni Geita Goldmine unaomilikiwa na AngloGoldAshanti, haimo katika orodha. Kampuni ya AfricanBarrickGold inamiliki migodi 4, North Mara, Buzwagi, Tulawaka na Bulyanhulu. Hii ndio kampuni kubwa ya madini kuliko zote mpaka kufikia hatua ya kujoin London stock of exchange,haimo katika orodha.
On top of that, Mohamed Entreprises uzalishaji wake ni sawa na asilimia 4 ya uzalishaji wa nchi (GDP). Haimo katika orodha.
Bakhresa Group of companies ni moja ya kampuni kubwa nchini zenye mafanikio makubwa katika mauzo ya nje. Kimsingi mwaka 2010 mafanikio makubwa katika kuuza ndani ya Afrika Mashariki, yanatokana na kampuni hii. Ziada tuliyonayo dhidi ya nchi nyingine za EAC katika mauzo nje kimsingi ni ziada ya Bakhresa Group, haimo katika orodha.
Kwa uelewa wangu makampuni huwa yanalipa corporate tax at the rate of 30%...au vigezo vimebadilika wakuu?