shibekijijini
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 358
- 478
Nawewe kapige, maana shida zimekujaa hadi kwenye miguuWapiga dili hao..
Nawewe kapige, maana shida zimekujaa hadi kwenye miguuWapiga dili hao..
Zilizochangwa za Bukoba zimekwenda wapi?. Alafu wacha kuzungumza bila data Mtumishi Mama Rwakatare kuwalipia wafungwa dhamana hulioni hilo?. Pia makanisani mwao wana huduma za masaidiano kuwasaidia wasiojiweza hili hutoliona kamwe maana kwqnza huamini katika Mungu.Hawa Wapiga dili wetu wa Bongo hawajaingia pamoja na kwamba hawalipi kodi....huwa siwasikii kuchangia maafa yoyote...Watachanga kina Diamond lakini wao kimya.
Wewe ni 'mhanga' wa huyo mama? acha aendeleee kuwalia vihela vyenu tu, wajinga ndio waliwao!Zilizochangwa za Bukoba zimekwenda wapi?. Alafu wacha kuzungumza bila data Mtumishi Mama Rwakatare kuwalipia wafungwa dhamana hulioni hilo?. Pia makanisani mwao wana huduma za masaidiano kuwasaidia wasiojiweza hili hutoliona kamwe maana kwqnza huamini katika Mungu.
Nashukuru kwa kuliona hilo.Next Time unapoanzisha uzi ujipanga mkuu....we umegoogle tu bila hata kuangalia list ilivyopangwa ukatupia hapa....hizo ni namba za mwisho za Top Ten...huyo umemweka wa kwanza ni wa Mwisho kwenye Top Ten ya Richest Pastor....
1. Bishop David Oyedepo Net Worth 2016 – $150 Million
2. Bishop T.D. Jakes Net Worth 2016 – $147 Million
3. Chris Oyakhilome Net Worth 2016 – $50 Million
4. Benny Hinn Net Worth 2016 – $42 Million
5. E. A .Adeboye Net Worth 2016 – $39 Million
6. Creflo Dollar Net Worth 2016 – $27 Million
7. Kenneth Copeland Net Worth 2016 – $25 Million
8. Billy Graham Net Worth 2016 – $25 Million
9. T.B. Joshua Net Worth 2016 – $10 Million
10. Joseph Prince Net Worth 2016 – $5 Million
SafiiiiiKumcha Mungu kunalipa aisee. Hivi watu tu tunawaona wanavyojipendekeza kwa wakuu wa dunia hii ili kupata riziki zao si zaidi hao wamtumikiao Mungu aliyeziumba mbingu na nchi ambaye mali na dhahabu ni mali yake?. Ni hospital ipi inafungua au kutibu mtu mwenye mapepo?. Ni hospital ipi au gereza lipi linaweza badilisha maisha na mwenendo wa mtu?. Hakika hakuna. Wacha wale nawe ukiona vipi ingia kw3nye game kama unaona ni simple.
AhsanteNext Time unapoanzisha uzi ujipanga mkuu....we umegoogle tu bila hata kuangalia list ilivyopangwa ukatupia hapa....hizo ni namba za mwisho za Top Ten...huyo umemweka wa kwanza ni wa Mwisho kwenye Top Ten ya Richest Pastor....
1. Bishop David Oyedepo Net Worth 2016 – $150 Million
2. Bishop T.D. Jakes Net Worth 2016 – $147 Million
3. Chris Oyakhilome Net Worth 2016 – $50 Million
4. Benny Hinn Net Worth 2016 – $42 Million
5. E. A .Adeboye Net Worth 2016 – $39 Million
6. Creflo Dollar Net Worth 2016 – $27 Million
7. Kenneth Copeland Net Worth 2016 – $25 Million
8. Billy Graham Net Worth 2016 – $25 Million
9. T.B. Joshua Net Worth 2016 – $10 Million
10. Joseph Prince Net Worth 2016 – $5 Million
Narudia tena, hao ni wapiga dili..Nawewe kapige, maana shida zimekujaa hadi kwenye miguu
Dada acha wivu, wanaume mbona hatupogo ki hivyo?Narudia tena, hao ni wapiga dili..
Unajua hapa JF ni jukwaa huru sawa! Ukiona ninacho-post kina kukera unanipotezea...Au unani-block kabisa....Dada acha wivu, wanaume mbona hatupogo ki hivyo?
Kama kawaida hatujala na kama tumekula hatujashiba.
Hawa ndio wanaokula kiulani mbele ya madhabahu yao kama ilivyoandikwa.
![]()
Joseph Prince
![]()
T.B Joshua
![]()
Franklin Graham
![]()
Billy Graham
![]()
Kenneth Copeland...huyu pia ni Rubani wa Ndege.
Kina Nzee Upako..Mama Lwakatare,Kakobe,Mwingira,.....Nabii Frank(mpare)...Geodarvie, na yule anayejiita Bilionea bado hawasomeki ktk Ramani ya Dunia.
Wote hao nimewafanyia utafiti wa kutosha.Nina ushahidi wa kutosha kwamba utajiri wao unatokana na yule mwovu.Katika kitabu cha Mathayo 4:8-10 neno la Mungu linasema,"8 Kisha Ibilisi akamchukua Yesu mpaka mlima mrefu mno,akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,9 akamwambia,,haya yote nitakupa, ukianguka kunisujujia.10 Ndipo Yesu akamwambia,nenda zako Shetani,kwa maana imeandikwa,Msujudie Bwana Mungu wako,umwabudu yeye peke yake.Shetani hajabadilika,Shetani yule yule aliyemjaribu Mwana wa Mungu ndiye aliyeko leo.Kama alivyomjaribu Bwana Yesu anawajaribu wengi leo ikiwa ni pamoja na akina Graham na Prince.Kwa bahati mbaya wamekubali uovu wake.Jambo la kufurahisha ni kwamba bado wanayo nafasi ya toba.Wakitubia uovu wao Mungu yuko tayari kuwasamehe.
Muongo wewe.lete ushaidi wako hapo.kazi kucopy maandiko na kuyatasfiri tofauti.