Orodha ya wachungaji matajiri duniani

Orodha ya wachungaji matajiri duniani

Hawa Wapiga dili wetu wa Bongo hawajaingia pamoja na kwamba hawalipi kodi....huwa siwasikii kuchangia maafa yoyote...Watachanga kina Diamond lakini wao kimya.
Zilizochangwa za Bukoba zimekwenda wapi?. Alafu wacha kuzungumza bila data Mtumishi Mama Rwakatare kuwalipia wafungwa dhamana hulioni hilo?. Pia makanisani mwao wana huduma za masaidiano kuwasaidia wasiojiweza hili hutoliona kamwe maana kwqnza huamini katika Mungu.
 
Kwani mlifungwa kamba kuwapelekea hizo fedha? tena sasa nawaomba wawatangazie MWISHO WA DUNIAUMEWADIA 'uzeni nyumba pesa mpeleke kwao'!! WAJINGA NDIO WALIWAO!
 
Zilizochangwa za Bukoba zimekwenda wapi?. Alafu wacha kuzungumza bila data Mtumishi Mama Rwakatare kuwalipia wafungwa dhamana hulioni hilo?. Pia makanisani mwao wana huduma za masaidiano kuwasaidia wasiojiweza hili hutoliona kamwe maana kwqnza huamini katika Mungu.
Wewe ni 'mhanga' wa huyo mama? acha aendeleee kuwalia vihela vyenu tu, wajinga ndio waliwao!
 
Next Time unapoanzisha uzi ujipanga mkuu....we umegoogle tu bila hata kuangalia list ilivyopangwa ukatupia hapa....hizo ni namba za mwisho za Top Ten...huyo umemweka wa kwanza ni wa Mwisho kwenye Top Ten ya Richest Pastor....

1. Bishop David Oyedepo Net Worth 2016 – $150 Million
2. Bishop T.D. Jakes Net Worth 2016 – $147 Million
3. Chris Oyakhilome Net Worth 2016 – $50 Million
4. Benny Hinn Net Worth 2016 – $42 Million
5. E. A .Adeboye Net Worth 2016 – $39 Million
6. Creflo Dollar Net Worth 2016 – $27 Million
7. Kenneth Copeland Net Worth 2016 – $25 Million
8. Billy Graham Net Worth 2016 – $25 Million
9. T.B. Joshua Net Worth 2016 – $10 Million
10. Joseph Prince Net Worth 2016 – $5 Million
Nashukuru kwa kuliona hilo.
 
Kumcha Mungu kunalipa aisee. Hivi watu tu tunawaona wanavyojipendekeza kwa wakuu wa dunia hii ili kupata riziki zao si zaidi hao wamtumikiao Mungu aliyeziumba mbingu na nchi ambaye mali na dhahabu ni mali yake?. Ni hospital ipi inafungua au kutibu mtu mwenye mapepo?. Ni hospital ipi au gereza lipi linaweza badilisha maisha na mwenendo wa mtu?. Hakika hakuna. Wacha wale nawe ukiona vipi ingia kw3nye game kama unaona ni simple.
Safiiiii
 
Next Time unapoanzisha uzi ujipanga mkuu....we umegoogle tu bila hata kuangalia list ilivyopangwa ukatupia hapa....hizo ni namba za mwisho za Top Ten...huyo umemweka wa kwanza ni wa Mwisho kwenye Top Ten ya Richest Pastor....

1. Bishop David Oyedepo Net Worth 2016 – $150 Million
2. Bishop T.D. Jakes Net Worth 2016 – $147 Million
3. Chris Oyakhilome Net Worth 2016 – $50 Million
4. Benny Hinn Net Worth 2016 – $42 Million
5. E. A .Adeboye Net Worth 2016 – $39 Million
6. Creflo Dollar Net Worth 2016 – $27 Million
7. Kenneth Copeland Net Worth 2016 – $25 Million
8. Billy Graham Net Worth 2016 – $25 Million
9. T.B. Joshua Net Worth 2016 – $10 Million
10. Joseph Prince Net Worth 2016 – $5 Million

Ahsante
 
Masanja naye hayumu....anajifanya mfanya biashara kumbe anawapiga masikin pesa za sadaka ....wajinga ndo waliwao
 
Dada acha wivu, wanaume mbona hatupogo ki hivyo?
Unajua hapa JF ni jukwaa huru sawa! Ukiona ninacho-post kina kukera unanipotezea...Au unani-block kabisa....

Sasa kwa kuwa kideri kinakusumbua unahitaji kisu uchinjwe...

Hao wachungaji ni wapiga dili tuu....Akifa huyo Mchungaji ndio mwisho wa Kanisa...Wamefanya makanisa yao ni vitega uchumi binafsi...Kanisa la mtu na si Taasisi....Ndio maana utasikia Mimi nasali kwa Rwakatare, kwa Malisa au Mwingira...Hujuilizi ni kwanini..?
 
Tuanze na swala la kuku, unamanisha kwenu hamchinji kuku mpaka awe na ugojwa wa kideri!!! Naomba unitajie mtumishi alie aga dunia kanisa likafa,

Mbali na Baba yako?
 
Sina haja ya kuku block maana kwa uwepo wako hum Jr utajifunza mengi na ujinga utapungua km sio kuisha kabisa. Naomba udipanic
 
Wote hao nimewafanyia utafiti wa kutosha.Nina ushahidi wa kutosha kwamba utajiri wao unatokana na yule mwovu.Katika kitabu cha Mathayo 4:8-10 neno la Mungu linasema,"8 Kisha Ibilisi akamchukua Yesu mpaka mlima mrefu mno,akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,9 akamwambia,,haya yote nitakupa, ukianguka kunisujujia.10 Ndipo Yesu akamwambia,nenda zako Shetani,kwa maana imeandikwa,Msujudie Bwana Mungu wako,umwabudu yeye peke yake.Shetani hajabadilika,Shetani yule yule aliyemjaribu Mwana wa Mungu ndiye aliyeko leo.Kama alivyomjaribu Bwana Yesu anawajaribu wengi leo ikiwa ni pamoja na akina Graham na Prince.Kwa bahati mbaya wamekubali uovu wake.Jambo la kufurahisha ni kwamba bado wanayo nafasi ya toba.Wakitubia uovu wao Mungu yuko tayari kuwasamehe.
Kama kawaida hatujala na kama tumekula hatujashiba.
Hawa ndio wanaokula kiulani mbele ya madhabahu yao kama ilivyoandikwa.
joseph.png


Joseph Prince

n.png


T.B Joshua

franklin.png


Franklin Graham
bill1.png


Billy Graham
kenneth.png


Kenneth Copeland...huyu pia ni Rubani wa Ndege.

Kina Nzee Upako..Mama Lwakatare,Kakobe,Mwingira,.....Nabii Frank(mpare)...Geodarvie, na yule anayejiita Bilionea bado hawasomeki ktk Ramani ya Dunia.
 
T. D Jakes hayupo humo kwenye orodha ? Basi nakataa umefanya tu makusudi
 
Wote hao nimewafanyia utafiti wa kutosha.Nina ushahidi wa kutosha kwamba utajiri wao unatokana na yule mwovu.Katika kitabu cha Mathayo 4:8-10 neno la Mungu linasema,"8 Kisha Ibilisi akamchukua Yesu mpaka mlima mrefu mno,akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,9 akamwambia,,haya yote nitakupa, ukianguka kunisujujia.10 Ndipo Yesu akamwambia,nenda zako Shetani,kwa maana imeandikwa,Msujudie Bwana Mungu wako,umwabudu yeye peke yake.Shetani hajabadilika,Shetani yule yule aliyemjaribu Mwana wa Mungu ndiye aliyeko leo.Kama alivyomjaribu Bwana Yesu anawajaribu wengi leo ikiwa ni pamoja na akina Graham na Prince.Kwa bahati mbaya wamekubali uovu wake.Jambo la kufurahisha ni kwamba bado wanayo nafasi ya toba.Wakitubia uovu wao Mungu yuko tayari kuwasamehe.


Muongo wewe.lete ushaidi wako hapo.kazi kucopy maandiko na kuyatasfiri tofauti.
 
Sawa una uhuru wa kuamini na kutafsiri maandiko unavyotaka lakini Roho Mtakatifu ni mmoja tu.Tusiendelee kubishana.Ukweli utajidhihirisha kwenye hukumu ya mwisho.
Muongo wewe.lete ushaidi wako hapo.kazi kucopy maandiko na kuyatasfiri tofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom