nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,701
- 14,101
Kama kawaida hatujala na kama tumekula hatujashiba.
Hawa ndio wanaokula kiulani mbele ya madhabahu yao kama ilivyoandikwa.
Joseph Prince
T.B Joshua
Franklin Graham
Billy Graham
Kenneth Copeland...huyu pia ni Rubani wa Ndege.
Kina Nzee Upako..Mama Lwakatare,Kakobe,Mwingira,.....Nabii Frank(mpare)...Geodarvie, na yule anayejiita Bilionea bado hawasomeki ktk Ramani ya Dunia.
Hawa ndio wanaokula kiulani mbele ya madhabahu yao kama ilivyoandikwa.
Joseph Prince
T.B Joshua
Franklin Graham
Billy Graham
Kenneth Copeland...huyu pia ni Rubani wa Ndege.
Kina Nzee Upako..Mama Lwakatare,Kakobe,Mwingira,.....Nabii Frank(mpare)...Geodarvie, na yule anayejiita Bilionea bado hawasomeki ktk Ramani ya Dunia.