Orlando Massacre: US Going Through Its 'Worst Nightmare'

Orlando Massacre: US Going Through Its 'Worst Nightmare'

Sidhani km muuaji alikuwa shoga...nlimskia baba yake bbc akisema kuwa kabla ya kutekeleza maauaji yale mtoto wake jana yake alioona wanaume wawili wakipigana denda na kitendo kile kilimkela sana,hata obama leo ameskika akisema muuaji hakuwa gaidi bali alifanya maauaji yake kwa msimamo wake binafs juu ya ushoga
Kuna propaganda au theory fake huko west wanasema mtu akiupinga kwa nguvu ushoga basi huenda ana element za ushoga. Nafikiri ndicho wanachojaribu kutengeneza. Na hii imefanya wengi wasikemee na waukubali ushoga ili wasionekane au kudhaniwa kuwa ni mashoga.
 
Hili shambulio mimi nililisikia mapema Jumamosi kupitia media (radio, tv, mitandao) na nimeendelea kupata taarifa zaidi kupitia njia hizo hizo kila mmoja akisema lake huku kazi yangu mimi ikiwa ni kuchuja opinions za wanaochangia mjadala. Ni kupitia njia hizo nimewasikia mashuhuda wakisema kuwa huyu mshambuliaji alikuwa ni mwenzao, sasa kuthibitisha au kukanusha hilo siwezi maana hata huko Florida sijawahi kufika!
Hayo mambo ya sodoma, sijui moto nk ni mambo yaliyo beyond our imagination na ndio maana tunajadili tunayoweza. Mfano Mungu akishusha moto duniani kama ilivyokuwa kwa big bang nakuwa na mashaka hata wasio mashoga watateketea. Katika opinion ya muombolezaji mmoja wapo kutoka Australia amesema kwamba "jamii ya mashoga tuko wengi zaidi ya mnavyodhani". Na je, unajua kwamba hawa jamaa hata Tanzania wapo na wanafurahia matendo yao japo hakuna sheria iliyowaruhusu (au sheria inayowakataza!)!?
Mi nakubaliana maono ya jamaa mmoja humu Jf,kwamba uenda jamaa wanatafuta kick wapate ulinzi na haki zao ziheshimiwe,Kama ni hvyo bas huyo jamaa kweli atakuwa alkuwa ni shoga mwenzao.
Hawa jamaa wako sirini wanaunda mfumo wenye nguvu sana kifedha,na kiutawala.Ndio maana viongoz wakubwa kukemea jambo hili wanakemea kwa uwoga na saa yaja ambapo ukiwa challenge mashoga tabia zao utalamba miaka mingi gerezani kama si kufutwa kabisa.
Ukitafuta mantik ya ushoga kwa maisha ya binadam hupati logic lakini watu wanainvest uko.Hapo ndipo unatakiwa kuconclude kwamba this is spiritual war.
Ni kweli Mungu akishusha moto utaangamiza na wasio na hatia hilo hata kule sodoma alilijua ila uamzi wake ulkuja baada ya kuona mashoga yalishatransform watu wa mji ule wote kasoro mtoto wa kaka yake Abraham (Lutu) ambae alimwokoa.Na abraham aliomba Mwenyez Mungu ausamehe sodoma kwa kuwa kunawezekana kukawa na wema ndani yake,aljibiwa kukiwa na wema hata kumi tu ndani ya mji ataghairi kuupga moto.Na sisi tunaendelea kufanya upuuz huu kwa sababu kuna wema wanaotulinda na ghathabu ya mwenyez Mungu.
 
Mi nakubaliana maono ya jamaa mmoja humu Jf,kwamba uenda jamaa wanatafuta kick wapate ulinzi na haki zao ziheshimiwe,Kama ni hvyo bas huyo jamaa kweli atakuwa alkuwa ni shoga mwenzao.
Hawa jamaa wako sirini wanaunda mfumo wenye nguvu sana kifedha,na kiutawala.Ndio maana viongoz wakubwa kukemea jambo hili wanakemea kwa uwoga na saa yaja ambapo ukiwa challenge mashoga tabia zao utalamba miaka mingi gerezani kama si kufutwa kabisa.
Ukitafuta mantik ya ushoga kwa maisha ya binadam hupati logic lakini watu wanainvest uko.Hapo ndipo unatakiwa kuconclude kwamba this is spiritual war.
Ni kweli Mungu akishusha moto utaangamiza na wasio na hatia hilo hata kule sodoma alilijua ila uamzi wake ulkuja baada ya kuona mashoga yalishatransform watu wa mji ule wote kasoro mtoto wa kaka yake Abraham (Lutu) ambae alimwokoa.Na abraham aliomba Mwenyez Mungu ausamehe sodoma kwa kuwa kunawezekana kukawa na wema ndani yake,aljibiwa kukiwa na wema hata kumi tu ndani ya mji ataghairi kuupga moto.Na sisi tunaendelea kufanya upuuz huu kwa sababu kuna wema wanaotulinda na ghathabu ya mwenyez Mungu.
Hapo kwenye spiritual war wengi watasema ni westerners/USA against Uislam (tuwe wazi hapa) lakini tukumbuke kuwa ushoga umekuwepo kabla Marekani na hata utawala wa rumi labda haujakuwepo! Hapa ukweli ni akili za binadamu ndivyo tulivyo ...wengine +ve na wengine -ve!
 
Taarifa za tangu jana zinasema hata mshkaji aliyewatwanga risasi na yeye alikua mteja mzuri sana wa hapo kijiweni...alikua anaenda kujichukulia mashoga zake halafu leo anasema eti ni kwa ajili ya Dini, hahahahhaa baada ya kulamba utamu wa wanaume wenzio??
usikute alikuwa anahudhuru pale kama casing the joint,,
 
Dah kumbe ilikuwa club ya mashoga baas walistahili kabisa ,tens Dogo angekomaa akawamaliza woote
 
Yesterday on 'Yahoo News page' waliandika ''Heaven has gained an angel''!
Mungu hadhihakiwi, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna!
Neno la Mungu liko wazi & direct, ukifa dhambini pasipo kutubu ni tiketi ya moja kwa moja jehanamu irrespective the prayers your relatives offer to God pleading mercy for you!
Kimsingi kumwombea rehema marehemu ni kupoteza muda. Dini ziache kupotosha waumini wao!
Uko sahihi, kibinadamu inasikitisha na inatia huruma, lakini MUNGU ameshasema ukifa tu ni hukumu, sasa kama hawakutengeneza njia zao duniani it is too late hata tukiacha shughuli zote duniani kuwaombea wao tu MUNGU hatobadili maamuzi yake.
 
Hizo habar mbona kama ni propaganda kupunguza hasira za watu dhidi ya Ushoga.Hasira za mwenyez mungu kwa dhambi hii ni kari na hazishuki kwa namna mnayofikiri kwamba utashushwa moto kama sodoma.Katika vitabu vyote vitakatifu mwenyez mungu ametamka kwa ukari sana juu ya ushoga na shetani alivyo utafuta kugusa pale panapomtia hasira sana mwenyez mungu.
Mashoga wanataka sasa kuwa open kwa kila mtu.Lakini vita hii si ya Damu na nyama ni spiritual Transformation war.

Mkuu nashangaa sana Unahukumu hawa Marehemu walio uwawa kinyama .
Katika vitabu vyote vya dini.MwenyeeziMungu peke yake ndio anaye hukumu.Zaidi ya makatazo mengi MwenyeeziMungu ametuonya tusiyafanye kama Kusengenya,Uzinzi,Uongo,Utapeli,Kuuwa,Kubagua Na orodha ndefu tu.Hapa JF watu wanatamba Kwa UZINZI,Chuki,Utapeli mbona hamuandiki kulaaani.Watu wanayo haki ya kujichagulia maisha Yao ingawa hayatupendezeshi.MwenyeziMungu kawaumba Na yeye peke yake atawahukumu.
 
Jamani kizazi hiki???eeh MUNGU tuepushie na hili balaa la ushoga.maana hili tukio limecreate awareness khs ukubwa wa hili tatizo.yan kwenye mitandao ni picha na maneno ya kulaani khs mashoga kuuawa..mashoga wanakumbatiana wanalia pamoja.Ni kama hili ni jambo la kawaida kabisa kwa wenzetu wamarekani.Ee Mungu tukimbilie wap?tuwafiche wapi watoto wetu wa kiume??na mitandao hii na jamii hii inayoonyesha kulikubali suala la ushoga km ni sawa na kawaida sana?Sina la kusema sitaki kuhukumu ila kizazi hiki ni kibaya sana mtu kuishi.Na mtu anayesema mtoto ukimpa malezi mazuri hawezi kuwa shoga anakosea..mitandao ina influence kubwa sana ktk kubadilisha tabia na mtazamo wa mtu juu ya jambo fulani.na pia wazungu wanapiga kampeni kubwa sana ya kubadilisha mtazamo wa wanadunia wengine khs ushoga..God have mercy!!
 
Back
Top Bottom