Original perfumes from USA

Original perfumes from USA

Het

Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
23
Reaction score
8
New arrived
Original perfumes and EAU DE TOILETTE from USA
Call/WhatsApp 0713662655 dar
IMG-20170923-WA0017.jpg
IMG-20170923-WA0015.jpg
IMG-20170923-WA0014.jpg
IMG-20170923-WA0013.jpg
IMG-20170923-WA0012.jpg
IMG-20170923-WA0011.jpg
IMG-20170923-WA0008.jpg
IMG-20170923-WA0005.jpg
IMG-20170923-WA0006.jpg
 

Attachments

  • IMG-20170923-WA0007.jpg
    IMG-20170923-WA0007.jpg
    24.5 KB · Views: 29
Mmmhh kweli hizo zinatoka USA maana hizo bei zake ni hatari.
 
Mh! Mh! Mh! Inakuwaje EAU de toilette ndo ina bei hivo, tena kuliko hata EAU de parfume wakati ndio yenye high concentration!!! Kwakweli hapana aisee!!!
Mkuu hizo ni brand kubwa tena original.
 
Nna 70,..nakuja nachagua yoyote mkuu,..najua hapo una super profit.
 
Yes hizi ni original mkuu,direct kutoka kwa Trump!
Zinadumu kwenye nguo zaidi ya siku.
Lete na za kutoka kwa Kiduku aloh, ili na sisi team Kiduku "turubudike" bhana.
 
Haha super profit wapi mkuu,
Bei za kawaida tu mkuu,
70k unapata pia!
Nachagua nayotaka lakin,..hyo ferari original ni nzur sana,..anyway zote nzur hzo ila hyo bei yangu ya magu hyo utanifkiria,maana mi kwa kupagawa na perfume ndo mwenyew naeza ztaka zote hahahaha
 
  • Thanks
Reactions: Het
Yes hizi ni original mkuu,direct kutoka kwa Trump!
Zinadumu kwenye nguo zaidi ya siku.
Kaka nataka kupunguza pesa niliyopanga kununulia kiwanja kama zitakua feki nitakusomea albadir?
 
Ila mkuu hapo naona kama unakula super profit ya kuanzia 50,000 hadi 100,000 kwa kila perfume, hongera kwa ubunifu. "Perfume kutoka kwa Trump"
 
Ila mkuu hapo naona kama unakula super profit ya kuanzia 50,000 hadi 100,000 kwa kila perfume, hongera kwa ubunifu. "Perfume kutoka kwa Trump"
Mkuu eau de toilette original zinauzwaje?
Tuanze hapo?
 
Ila mkuu hapo naona kama unakula super profit ya kuanzia 50,000 hadi 100,000 kwa kila perfume, hongera kwa ubunifu. "Perfume kutoka kwa Trump"
Hahaha perfume moja inauzwa 75,000 sasa hio faida ya 100,000 itokee wapi mkuu,
Angalia bei vizuri sio laki saba hio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom