Naitwa Nani
Member
- Dec 18, 2011
- 29
- 2
tanzania sasa hivi kuna udini sana zamani ilikuwa ukabila mara wachaga,wahaya,wanyakwisa. Leo uislam na ukristo. Waislam wanadini yao na wakristo wanadini yao hivi tatizo nini....
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.
Nani asiyejua ya kwamba NSSF kuna udini humu? Pole kwa kukumbuka shuka asubuhi...Dau kaiharibu NSSF tena sana hilo halipingiki wandugu.
Inamaana NSSF wana udini?
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.
Nafikiri ktk vigezo vilivyotajwa dini haikuwemo hivyo suala la kuitwa Ally na Haruna sio shida sana kwangu la msingi wawe na vigezo jaribu kuangalia na sekta nyingine km TRA na kwingineko sio udini kuuona nssf tu!ujui ulisemalo mkuu