Oral interview kada ya afya: tupeni feedback

Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo??
 
Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu
Ubarikiwe sana sana mkuu.... Mungu akutangulie kwenye safari ya majukumu na maisha kwa ujumla.
 
Ration ya 1:3 maana yake nini kwenye kuandaa matokeo..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…