Habari.
Usaili ni vita kama vita vingine.
Inategemea we we umeamua kutumia silaha ipi kuingia uwanjani.
Mimi picha linaanza sikujishugulisha na mikoa yenye competition kubwa niliomba maporini.
Usaili wa afya.
Vitu vya kuzingatia ni vyeti hakikisha haumiss Document hata Moja watu wengi walooshia mlangoni.
Written usifanye kwa kigezo cha kupata 50 competition kubwa kada zote wamechuja kwa kuangalia ratio ya 1;3 na matokeo waliyaunganisha Tz nzima.
So usiende kichovu kama ni mwalimu wa bailoji inaamaana matokeo ya bailojia wataunganisha Tanzania nzima kisha wataangalia ratio ya 1 ya 3 hata kama atapata 80 wao watachuja hapo hapo.
Kingine upande oral pitia kila kitu maana maswali wanayotoa hata mtu ukutarajia ulikomalia mambo makubwa tu na kusahau madogo.
Swali La duties wanalitoa Ila kimtego hawaendi direct.
Kingine oral hizi confidence na usifikiri fikirie kwenye chumba cha usailo majamaa yanajali Sana muda inaweza kuambia Time is over kwwma swali La introduced yourself wengi walikatizwa.
So jipange kibinadamu na usiache kumwamini Mungu.
Utafanikiwa.
Una swali.?